Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijaona mtanzania akienda kunyaland kushangaa ule mkweche wao
Screenshot_20240807_072101_YouTube.jpg
 
Unafeel freedom? Ile freedom ya eneo lote ni lako?

Ukinunua apartment hapo alafu ulete kelele na kero kwa wenzako si unaondolewa?

Huwezi fananisha apartment ambayo mko wengi na kumiliki nyumba+land ambayo ni yako mwenyewe na unafanya utakavyo.
Kwa hivo unadhani Nairobi hamna nyumba za compound ama Nini? Hujui Nairobi utachagua unapotaka kuishi? Halafu pia usidhani apartment za kuuza zinazojengwa Nairobi ni vi-apartment ovyo ukigombana na bibi neighbor anaskia. Hizi ni apartment za maana zenye sound proofing ndio maana ni Bei ghali kuliko kujenga nyumba yako mansion mitaa kama ya Syokimau.

View: https://www.youtube.com/watch?v=T633izGubto&pp=ygUXZ3RjIHJlc2lkZW5jZSBwZW50aG91c2U%3D

Kumbuka pia mitaa yetu ya kujenga nyumba za chini imepangika na ina Barabara za lami, sio kama hapo kwenu watu wanajenga kiholela.
Linganisha Hii mitaa. Hapa ni Kahawa Sukari. Huu ni mtaa nje ya Nairobi ambao unanunua shamba lako unajijengea. Tazama ulivyopangika. 100% Barabara ni lami.

Screenshot 2024-08-07 083130.png


Huu hapa ni Syokimau, pia nje ya Nairobi. Unanunua shamba lako unajijengea nyumba yako jinsi unavyotaka. Tazama ulivyopangika. Hapa barabara 60% ni lami, the other 40% ziko mbioni kupigwa lami.
Screenshot 2024-08-07 083311.png


Haya,linganisha ni hii Mbweni yenu ambayo kila siku mnajichocha nayo humu. Tazama ilivyo disorganized. Ukitoa Main road, hamna barabara nyingine yoyote yenye lami.
Screenshot 2024-08-07 083746.png

Mwengine hapa Mbezi. Huu mtaa nimeuskia sana hata kabla nikanyage Dar niliskia Wabongo wengi sana wakiongelea jinsi ulivyo mtaa wa kitajiri. Sasa naulinganisha ni mitaa ya Nairobi ya kawaida kama Syokimau hata haufikii kwa kupangika wala infrastructure.
Screenshot 2024-08-07 084008.png


Ndio maana mimi hucheka sana nikiwaskia mkiongea eti ooh Dar tunajijengea nyinyi mnaishi kwa apartments. Hapa Nairobi kila kitu kipo. Ukitaka kununua shamba ujenge mansion utapata, ukitaka kununua mansion kwenye gated community utapata, ukitaka kupanga mansion utapata, ukitaka kununua apartment utapata, ukitaka kupanga apartment utapata. Kitakachoongea ni preference yako na mfuko wako.
 
Halafu hawajui likina swali la mansions za kumilikiwa pia zipo nyingi ndani na nje ya Nairobi. Ndani ya Nairobi maeneo kama Karen, Runda, Muthaiga, Utawala n.k ni mansions za kumilikiwa. (Ikumbukwe eneo kama Karen pekee ni kubwa kuliko mitaa yote ya Kifahari Dar combined) Alafu Kuna maeneo nje ya Nairobi kama Kahawa Sukari, Runda ya juu, Kiambu, Syokimau, Ngong, Kiserian, Kitengela, Rongai, Athi River n.k nyumba ziko kibao mansions za kumiliki.
😂😂😂😂wewe ni muongo mpumbavu wewe always.. ukichukua kuanzia oyster bay kufika mbezi beach ukanda wa bahari wote huo ni mansions ndio zipo huko huo upande unaweza kulingana na nusu ya Nairobi nzima 😂😂😂 ulishawahi kufika Dar.? 😂😂😂
 
Mwarabu Bonoko kutoka Yemen hajui watu wanatoka Marekani kuja kuishangaa Nairobi, yeye akiona Mkenya Bongoland anadhani Mkenya kaona kwao kuzuri kushinda Kenya.😂😂
Ni kawaida ya kunyalanders kuja kufanya tourism in Tanzania, wengi wenu mnakujakushangaa maendeleo ya bongo, wewe jamaa mbona ni mpumbavu na mtu muongo .? 😂😂😂
 
Ni kawaida ya kunyalanders kuja kufanya tourism in Tanzania, wengi wenu mnakujakushangaa maendeleo ya bongo, wewe jamaa mbona ni mpumbavu na mtu muongo .? 😂😂😂
Uganda pia tunaenda, Rwanda tunaenda, Burundi tunaenda, DRC tunaenda, Ethiopia tunaenda. Hakuna cha kushangaza hapo wee kima. Sisi ni watalii na Mkenya akipata pesa kutalii ni lazima. Najua mnapenda approval ya Wakenya ila msidhani mko special.
 
Back
Top Bottom