Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyio mwehu Mkenya tungeanza kumpuuza na kumkazia moderator apite nae, ili aje na uraia wake wa Kikenya.

Anadai Mogadishu ni zaidi ya Dar 🙄

Huyo mbona tutaziona rangi zake halisi ni suala la muda tu
 
Wakenya ni washenzi sn, wana tamaa mno pia sio wazalendo, yn kila wakifanya vimiradi vyao tunawaumbua pakubwa mno. Sasa ka expressway way chao kame cost pesa nyingi hivyo wakati yetu ni ndefu na bila shaka itakuwa ya mfano hapa EA na Afrika kwa ujumla lkn cost yake ni almost less than 10 times ya shakahola.
😂😂😂 Aisee ni hatari, viongozi wetu kwa shakahola ni kama Malaika wa huruma, yaani hawa washenzi wanaiba ni hatari
 
Mkuu, usikubali kunasa katika mtego wa wakenya, Kama wanakiri kwamba Kila kitu tunawapita kwa Kasi, ni kigezo gani kinawafanya waseme hatuna "human capital?", au kwamba Education system yetu ni mbaya wakati vigezo vyote vinaonyesha kwamba Tanzania tupo vizuri kuwazidi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kenya Wana landmass ndogo na sio sehemu zote zina mvua na rutuba lakini utakuta kuna baadhi ya mazao wanaongoza ku export nje Kama avocado ,tea ,coffie etc sisi wenye ardhi kubwa yenye rutuba tungetakiwa tuwe na high productions output na tuuze kuliko nchi nyingi hapa central na east Afrika kwa almost madhao yote hadi ndizi ambazo Uganda anaongoza unajua ni kwa nini ?

Sababu hatuna skilled people na watu committed ambao wangeweza ku commercialize kilimo wenzetu wana eneo dogo kame ila wanatumia ipasavyo

Huo ni mfano wa kilimo

Tuje kwenye bandari mombasa kipindi kile isingetakiwa kutuongoza sisi tuna large coastline kubwa tupo startegically located tumezungukwa na majirani 8 ingetakiwa mizigo mingi iwe kwetu lakini ufanisi mbovu na rushwa bandarini imetuangusha huo ni uongozi mbovu bado hatuna wataalamu

Pamoja na madini tuliyokuwa nayo bado tungetakiwa tuwe mbali ila mikataba mibovu pamoja na kuibiwa hapa ni uongozi na elimu ..inshort tuna kila kitu cha kutufanya tuwe bora ila uongozi na elimu watanzania tunapelekwa tu pamoja na uoga ndio maana nyerere aliambiwa anaongoza wafu

Hapa juzi umeona ripoti ya cag ule wizi na ubadhirifu uongozi mbovu kabisa

Wako sahihi tukiweza kuwa na human capital nzuri na uongozi bora ni game over kwao
 
Hili ni pigo kubwa sana.... Kama Ksh inaweza kuporomoka haraka namna hiyo means baada ya miezi 4 ijayo au 8 ijayo itakwenda kufika Ksh 14.78

Means uchumi wao unakwenda jehanam waache malumbano.....


Being best of all times and ending being loser and cowards

Wiki ijayo wapi kaka!
Nimetoka NMB muda huu iko 14.46
 
Somewhere in Bongo
20230530_185702.jpg
20230531_102632.jpg
20230528_114834.jpg
20230522_141435.jpg
20230523_143530.jpg
20230526_212458.jpg
20230530_185652.jpg
20230531_144900.jpg
 
Kenya Wana landmass ndogo na sio sehemu zote zina mvua na rutuba lakini utakuta kuna baadhi ya mazao wanaongoza ku export nje Kama avocado ,tea ,coffie etc sisi wenye ardhi kubwa yenye rutuba tungetakiwa tuwe na high productions output na tuuze kuliko nchi nyingi hapa central na east Afrika kwa almost madhao yote hadi ndizi ambazo Uganda anaongoza unajua ni kwa nini ?

Sababu hatuna skilled people na watu committed ambao wangeweza ku commercialize kilimo wenzetu wana eneo dogo kame ila wanatumia ipasavyo

Huo ni mfano wa kilimo

Tuje kwenye bandari mombasa kipindi kile isingetakiwa kutuongoza sisi tuna large coastline kubwa tupo startegically located tumezungukwa na majirani 8 ingetakiwa mizigo mingi iwe kwetu lakini ufanisi mbovu na rushwa bandarini imetuangusha huo ni uongozi mbovu bado hatuna wataalamu

Pamoja na madini tuliyokuwa nayo bado tungetakiwa tuwe mbali ila mikataba mibovu pamoja na kuibiwa hapa ni uongozi na elimu ..inshort tuna kila kitu cha kutufanya tuwe bora ila uongozi na elimu watanzania tunapelekwa tu pamoja na uoga ndio maana nyerere aliambiwa anaongoza wafu

Hapa juzi umeona ripoti ya cag ule wizi na ubadhirifu uongozi mbovu kabisa

Wako sahihi tukiweza kuwa na human capital nzuri na uongozi bora ni game over kwao
Tuanze na kilimo, kati ya Kenya na Tanzania. Ni nchi gani inayofanya vizuri katika kilimo "in general?", nani aliyekuambia kwamba kuwa na Ardhi kubwa yenye rutuba ndio kigezo Cha kuongoza katika kilimo?
1)Uholanzi ni nchi yenye Ardhi ndogo kuzidi France, mbona ndiyo inaongoza Ulaya ktk kilimo?
2)Israel haina hata 20% ya Ardhi ya Kenya yenye rutuba, lakini imeendelea katika kilimo kuzidi Afrika nzima
3)Egypt, nchi nzima ni Jangwa lakini kilimo kipo juu kuzidi hata sisi Tanzania

Conclusion: Humani capital ni muhimu zaidi katika kilimo kuzidi Ardhi, vipi hao wakenya wanaojipiga kifua kwamba Wana" human capital" kutuzidi lakini sisi ndio tunaongoza katika kilimo?.

Kuhusu Kenya kutuzidi katika baadhi ya mazao, mkuu Kila nchi Iko na vipaumbele vyake, nchi haiwezi kuongoza katika uzalishaji wa mazao yote, taja Kama Kuna nchi ya aina hiyo duniani. Ukiacha Chai, maua na parachichi, mazao mengine yote yaliyobaki, tena mazao mama kwa uchumi wa nchi, tumewazidi tena kwa mbali Sana.

Huwajui wakenya vizuri, ukiwazidi lazima watafute sababu ya kuhalalisha kushindwa kwao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom