Usinifokee
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,503
- 3,514
Dah... Akya Mungu, wana Hali mbaya sana kwasasa.....Kuna wakati ya kununua Huwa inafika 15
Sikuwahi kuamini siasa inaweza kuathiri uchumi wa nchi kwa haraka ila kwasasa naamini 100% kuwa ili uwe na uchumi imara unahitaji siasa ya mshikamano plus kuelewana

