Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

A dream of Another tembo mweupe loading
Hahaha, wamehamishia kwenye Elimu, hawa watu ni wajinga Sana, wanakubali kwamba Kila kitu Tanzania inafanya vizuri kuliko wao, lakini bado hawakubali kwamba Tanzania itawapita na kuwa Superpower.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Soma posts zangu vizuri uelewe nilichozungumza, Wacha kudandia train kwa mbele, pia ninasisitiza ujadili mada kwa nidhamu na kuheshimiana, huu mjadala ulianzia Jana, hakuna mtu aliyeanza kufanya "personal attacks", tafadhali jiheshimu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sijakurupuka na hilo jibu, huwa nasoma kila bandiko hapa, naelewa fika mwenendo wa mjadala. Ila naona umekwazika, basi yaishe.
 
Wakuu, embu niambieni kinachoendelea kuhusu uchumi wa Kenya hasa shilling ya Kenya mbona inaporomoka namna hiyo....

Niliona hili kama miezi 4 iliyopita ilipoanza kushuka kutoka Ksh 20.1 dhidi ya ile ya TSH.... Mpaka Jana navyoongea imefika Ksh 16.82

Au ndio Tz tunaibuka sasa?
 
Wakuu, embu niambieni kinachoendelea kuhusu uchumi wa Kenya hasa shilling ya Kenya mbona inaporomoka namna hiyo....

Niliona hili kama miezi 4 iliyopita ilipoanza kushuka kutoka Ksh 20.1 dhidi ya ile ya TSH.... Mpaka Jana navyoongea imefika Ksh 16.82

Au ndio Tz tunaibuka sasa?
Sasa wanaishi Kwa msaada 😁😁
 
Daladala na Mzizima Towers

IMG_7553.jpg
 
For real.
But nafurahi kuona sasa hivi Serikali yetu ilivyo amka kibiashara na kuachana na mambo ya Ukombozi maana yametuzorotesha kwa muda mrefu sana
Tumedumaa sana Kwa habari za ukombozi na tuliowakomboa wametupita na Wala hawajatusaidia chochote 🤣🤣

Tumecheleweshqa sana ndugu zangu in Mwendazake's Voice
 
Sasa wanaishi Kwa msaada
Hili ni pigo kubwa sana.... Kama Ksh inaweza kuporomoka haraka namna hiyo means baada ya miezi 4 ijayo au 8 ijayo itakwenda kufika Ksh 14.78

Means uchumi wao unakwenda jehanam waache malumbano.....


Being best of all times and ending being loser and cowards
 
Hili ni pigo kubwa sana.... Kama Ksh inaweza kuporomoka haraka namna hiyo means baada ya miezi 4 ijayo au 8 ijayo itakwenda kufika Ksh 14.78

Means uchumi wao unakwenda jehanam waache malumbano.....


Being best of all times and ending being loser and crowds
Saizi Ruto anaomba msosi Kwa Putin 😁😁😁
 
Tumedumaa sana Kwa habari za ukombozi na tuliowakomboa wametupita na Wala hawajatusaidia chochote

Tumecheleweshqa sana ndugu zangu in Mwendazake's Voice
Kabisa kaka hasa ile habari ya kusajili makampuni nayayonunua mahindi Tanzania ni nzuri sana unajua wakenya wakula sana vitu vya bure kwa kwa kupitia mgongo wa residential status. Watu wa Kodi wananielewa.
 
Saizi Ruto anaomba msosi Kwa Putin
Jana sikuamini baada ya kuona imefika Ksh 16.82 ilibidi nikaangalie vizuri mtandaoni maana zimepita kama siku 5 Tu tangu nifanye exchange kwa Ksh 18

Waache malumbano, akya Mungu hiyo vita ya siasa inakwenda kumpandisha mtu (TZ) kwa nguvu.... Na kuja kumshusha itawahitaji 25years

Ila hata Dollar naona inaporomoka kwa cents
 
Jana sikuamini baada ya kuona imefika Ksh 16.82 ilibidi nikaangalie vizuri mtandaoni maana zimepita kama siku 5 Tu tangu nifanye exchange kwa Ksh 18

Waache malumbano, akya Mungu hiyo vita ya siasa inakwenda kumpandisha mtu (TZ) kwa nguvu.... Na kuja kumshusha itawahitaji 25years

Ila hata Dollar naona inaporomoka kwa cents
Kuna wakati ya kununua Huwa inafika 15
 
Back
Top Bottom