Nilisema mwanzo sijui mnajadili nn.. lakn kwenye suala la upepo kusema ni kiumbe hai au sayansi haiwez kuelezea kwanin hauna rangi wala shepu hapo ndo nilipoanziaNafkiri hii mada bado hujaielewa vzr bro rudi mwanzo wa mada kwanza
Nilisema mwanzo sijui mnajadili nn.. lakn kwenye suala la upepo kusema ni kiumbe hai au sayansi haiwez kuelezea kwanin hauna rangi wala shepu hapo ndo nilipoanziaNafkiri hii mada bado hujaielewa vzr bro rudi mwanzo wa mada kwanza
Kuhusu suala la upepo kuwa kiumbe hai hayo ni mawazo yangu, iko hivyo kila kitu kilianza kama wazo tu na wapo waliopinga na waliokubali lkn baadaye ufumbuzi unapatikana. Miaka mingi sn nyuma ilikuwa inafahamika kwamba dunia ipo pembe nne kama meza, kuna mnajimu alikuja akasema dunia ni duara watu walicheka sana ila baadae ikaja kugundulika dunia duara. Sasa mm sijifananishi na hao bali ni msimamo wangu kwamba sayansi haiwezi kitu mbele ya Mungu na ndiyo haijajua mambo mengi tu mpaka sasa japo imetusaidia lkn haikidhi haja bado.Nilisema mwanzo sijui mnajadili nn.. lakn kwenye suala la upepo kusema ni kiumbe hai au sayansi haiwez kuelezea hapo ndo nilipoanzia
Kwa wew, dunia imegundulika ni duara kwa sababu gan? Ya Biblia au Quran au sayansi au nn?Kuhusu suala la upepo kuwa kiumbe hai hayo ni mawazo yangu, iko hivyo kila kitu kilianza kama wazo tu na wapo waliopinga na waliokubali lkn baadaye ufumbuzi unapatikana. Miaka mingi sn nyuma ilikuwa inafahamika kwamba dunia ipo pembe nne kama meza, kuna mnajimu alikuja akasema dunia ni duara watu walicheka sana ila baadae ikaja kugundulika dunia duara. Sasa mm sijifananishi na hao bali ni msimamo wangu kwamba sayansi haiwezi kitu mbele ya Mungu na ndiyo haijajua mambo mengi tu mpaka sasa japo imetusaidia lkn haikidhi haja bado.
Hapa unachanganya mada mkuu.Kwa wew, dunia imegundulika ni duara kwa sababu gan? Ya Biblia au Quran au sayansi au nn?
Wamekimbia jamzini!!Ila Wakustan![]()

. Hakika Tanzania imefana na inaendelea kufanaNafaham nimechanganya kwa interest nyingine.. nataka tu jibu lako kwa hilo swali, ndo mana nimesema 'kwa wew'Hapa unachanganya mada mkuu.
Yah hatuna yakuua,nachomaanisha wenzetu hata hiyo sheria hawakuwa nayoNajua na tayari Kuna watu wamehukumiwa ila adhabu sio za kuuwawa kama hao Jamaa wa Uganda.
Nani aliyeandika Qurani na anasifa zipi Ili tuweze kuamini kwamba alichosema ni kweli?We jamaa usome Bro, otherwise usituletee story yoyote hapa whether umetuelezea vizur or not, kama utakataa kuhusiana na holy books, kwasababu hizo history books zote zimeandikwa na watu weupe..
By the way Qur'an imeeleza hadi ni nani alikua wa kwanza kuingiliwa kinyume na maumbile na ikapinga vikali matukio hayo.. unajua kwanini hizo story zilisimuliwa kwenye holy books.?
Je, hizo story zitatusaidia nini sisi kizazi cha wakati huu.? Kwa mwenye akili za kawaida kama zako anaweza kujiuliza swali hili..
Mungu anasema "Inna fii'dhalika li'ibratan liman'yaghshaa" hizo story zote zilisimuliwa Ili iwe ni mazingatio kwa wenye kumcha Mwenyezi Mungu..
Huyo Mungu alijuaje?Ni maelezo ya ujanja ujanja tu .. hivyo vitu ni Mungu mwenyewe ndio anajua, ila pia hatujakatazwa (na Mungu mwenyewe) kutaka kujua ya dunia, huenda hapo mbeleni ikatuletea majibu sahihi
Mkuu, huko Nazareth alikuzaliwa YESU wanakataa kwamba story ya YESU imepindishwa hakuwa hivyo inavyosimuliwa katika biblia, na wao wenyewe hawamkubali.Wanataka kupinga tu lkn vitabu vya dini vina ukweli kabisa ni sisi binadamu tu tunapindisha kwa kusema ni vya wazungu, kama vingekuwa vya wazungu si vingetaja miji yao tu, Paris, London n.k huyo Yesu kafika mpaka Africa lkn hakwenda ulaya, basi si wangejipendelea waseme alizaliwa na kuishi ulaya?
Mkuu, Mungu yupi?, huyu aliyewatuma YESU na Mohammad, au hawa miungu wetu wa kiafrika tunaowaabudu kwa kufanya mazindiko kwa kuchinja wanyama chini ya miti na mapango?Mungu fundi sana wallahi yani kuna vitu kavifumba hatuwezi na hatutokuja kupata majibu hata tufanyaje, mfano riziki, kifo yani hapo kamaliza kabisa.
Walikataa sababu waliamini dini yao na si Mungu (Yesu)..Mkuu, huko Nazareth alikuzaliwa YESU wanakataa kwamba story ya YESU imepindishwa hakuwa hivyo inavyosimuliwa katika biblia, na wao wenyewe hawamkubali.
Mkuu, dini na Imani zingine za kishirikina ni sehemu ya kukua kwa akili ya binadamu, akili changa na zinazokua huwa zinatawaliwa na Imani zaidi, wakati akili zilizoendelea zinatawaliwa na "Facts" zaidi.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app