The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Unaropoka tu bila kujua unaongea nn.Hiii ya Dar Moro inapita ndani ya posta,kariako na upanga plus ni viaduct?
Kuna land serikali watanunua pia?
Unaropoka tu bila kujua unaongea nn.Hiii ya Dar Moro inapita ndani ya posta,kariako na upanga plus ni viaduct?
Kuna land serikali watanunua pia?
Vipi hapo kwenye bandari ?Tuanze na kilimo, kati ya Kenya na Tanzania. Ni nchi gani inayofanya vizuri katika kilimo "in general?", nani aliyekuambia kwamba kuwa na Ardhi kubwa yenye rutuba ndio kigezo Cha kuongoza katika kilimo?
1)Uholanzi ni nchi yenye Ardhi ndogo kuzidi France, mbona ndiyo inaongoza Ulaya ktk kilimo?
2)Israel haina hata 20% ya Ardhi ya Kenya yenye rutuba, lakini imeendelea katika kilimo kuzidi Afrika nzima
3)Egypt, nchi nzima ni Jangwa lakini kilimo kipo juu kuzidi hata sisi Tanzania
Conclusion: Humani capital ni muhimu zaidi katika kilimo kuzidi Ardhi, vipi hao wakenya wanaojipiga kifua kwamba Wana" human capital" kutuzidi lakini sisi ndio tunaongoza katika kilimo?.
Kuhusu Kenya kutuzidi katika baadhi ya mazao, mkuu Kila nchi Iko na vipaumbele vyake, nchi haiwezi kuongoza katika uzalishaji wa mazao yote, taja Kama Kuna nchi ya aina hiyo duniani. Ukiacha Chai, maua na parachichi, mazao mengine yote yaliyobaki, Tena mazao mama kwa uchumi wa nchi, tumewazidi Tena kwa mbali Sana.
Huwajui wakenya vizuri, ukiwazidi lazima watafute sababu ya kuhalalisha kushindwa kwao.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Inaitwa Free fall, mpk kumaliza huu mwaka itakuwa 1ksh=5tzs na baadaye mwakani itakuwa 1ksh=1tzs, mind you pesa ya Tz ina thamani kuliko ya Kenya, sasa ikifika kwenye 1by1 sijui itakuwajeWiki ijayo wapi kaka!
Nimetoka NMB muda huu iko 14.46






WatatumbuaInaitwa Free fall, mpk kumaliza huu mwaka itakuwa 1ksh=5tzs na baadaye mwakani itakuwa 1ksh=1tzs, mind you pesa ya Tz ina thamani kuliko ya Kenya, sasa ikifika kwenye 1by1 sijui itakuwaje![]()


ngoja ishukeInaanzia kibaha au mbezi kama sijakosea lakini serekali lazima kulipa fidia kwa ardhi za watu zitakazopitiwa na mradi huu so jibu ni yes lazma ilipe fidiaHiii ya Dar Moro inapita ndani ya posta,kariako na upanga plus ni viaduct?
Kuna land serikali watanunua pia?
Swali zuri Sana; Bandari, viwanda na miundombinu mingine, Kenya ilikua inafanya vizuri kutuzidi kutokana na historia za hizi nchi.Vipi hapo kwenye bandari ?
Hapo nimepata somo .Swali zuri Sana; Bandari, viwanda na miundombinu mingine, Kenya ilikua inafanya vizuri kutuzidi kutokana na historia za hizi nchi.
Hata kabla ya Uhuru, wakoloni waliichagua Kenya Kama makao makuu Yao, Tanzania na Uganda zilikua ni Kama mashamba Yao, hivyo walijenga viwanda vingi Kenya, barabara na bandari Ili kuweza kuisafirisha bidhaa zao.
Hata baada ya Uhuru, bado Kenya ndiyo ilikua ni chaguo la nchi za Magharibi kwasababu wazungu hawakufukuzwa Wala kunyang'anywa viwanda, Nyumba au Ardhi yao Kama tulivyofanya huku Tanzani. Nchi za Ulaya ziliendelea kutumia bandari ya Mombasa na uwanja wa ndege wa Nairobi Kama milango Yao mikuu katika Kanda hii.
Vuguvugu la ukombozi wa kusini mwa Afrika nalo likawafanya wazungu kuzidi kuichukia Tanzania, kwahiyo bandari ya Dar ilikua inatumiwa na Zambia pekee kabla ya nchi za kusini mwa Afrika hazijawa huru, Mabutu na Kenyatta walikua ni vibaraka wa wazungu, Tanzania tulitengwa.
Baada ya hivyo vita kukamilika, Sasa taratibu tunaanza kuwanyang'anya Kenya masoko yake, Rwanda, DRC, Uganda, na South Sudan, haya ni masoko ya Kenya ambayo tunayanyakua kwa Kasi kubwa Sana.
Hapo katikati tulizembea kidogo, ila Sasa tumeamka Sana, Kumbuka kumshawishi nchi kubadilisha njia walitokwisha wekeza na kuingia mikataba kwa muda mrefu inahitaji muda, ila hivi Sasa Kila kitu kinakwenda vizuri.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
The fact kwamba ni expressway haina tofauti kabisa, actually expressway ya Dar itapita kwenye junctions nyingi kuliko ya Nairobi na unaelewa kwenye junctions lazima kuwepo viaducts due it's an expresswayHiii ya Dar Moro inapita ndani ya posta,kariako na upanga plus ni viaduct?
Kuna land serikali watanunua pia?
Mkuu, Tanzania hivi Sasa ni moto Kama pasi, japo bado tunayomapungufu, lakini hivi Sasa kwa huu ukanda wa kusini mwa Sahara, sidhani Kama Kuna nchi yoyote inayoendelea kwa Kasi Kama Tanzania, Magufuli alitubadilisha Sana watanzania, japo Kasi imepungua kidogo, lakini bado tunafanya vizuri Sana.Hapo nimepata somo .
Kwa nini na sisi tusijiboreshe kwenye hivyo vipengele ? nakumbuka Magufuli alizungumzia Tanzania ya viwanda amekufa mpka leo kimya
Chande alisema wametenga bil.4 na watazielekeza kwenye miradi inayolinda mazingira hususani vyanzo vya Maji..Hapa ndio zipo zile modern stadiums na arenas View attachment 2641461
Kenua meno tu 😁😁😁👇👇👇


CSR ya mradi wa dollars zaidi ya billion 3 (trillion 6)haiwezi kuwa Tsh billion 4Chande alisema wametenga bil.4 na watazielekeza kwenye miradi inayolinda mazingira hususani vyanzo vya Maji..
Mwisho mkandarasi anatakiwa na yeye atoe csr