Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu, Mimi ni muumini wa Sayansi na ninaijua vizuri Sana, ukichunguza kwa makini Sana, utaelewa kwamba viumbe vyote "once vilianzia Kama "Single cell organisms, kuanzia hapo safari ya multiplication of single cell ikaanza na species mbalimbali zikajitokeza kutokana na nguvu za mazingira za maeneo husika na vipindi mbalimbali katika umri wa Dunia.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mzee wa Joto fanya hivi kula nyama nyamaza , unapotea

Amini unachokiamini, japo upeo wako unajulikana upo wapi, chaajabu wewe unayepinga kuhusu mungu ukipatwa na janga utasikia mungu wangu, [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na kwenye maisha yako yote tokea uzaliwe mpaka ulipofikia haujawahi kutolitaja hilo jina,

Bisha ila moyo wako unaujua huo ukweli
 
Mzee wa Joto fanya hivi kula nyama nyamaza , unapotea

Amini unachokiamini, japo upeo wako unajulikana upo wapi, chaajabu wewe unayepinga kuhusu mungu ukipatwa na janga utasikia mungu wangu, [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na kwenye maisha yako yote tokea uzaliwe mpaka ulipofikia haujawahi kutolitaja hilo jina,

Bisha ila moyo wako unaujua huo ukweli
Jambo ninalosema ni kwamba Kila mtu awe huru kuamini lile analoliamini, asitokee mtu kuonyesha kwamba kile anachokiamini yeye ndio sahihi na wengine wanapotoka.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, kwani Mungu alianzilishwa na nani, au alijitokeza mwenyewe tu?. Sasa Kama kujitokeza kwenyewe kunawezekana kwa Mungu, vipi kwa wengine kusiwezekane?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huyo anayeweza kujitokeza mwenyewe ndiyo Mungu huyo, kama hizo nguvu za kimazingira zilijitokeza zenyewe bila muanzilishi basi ndiyo Mungu huyo ninayemuamini mm.
 
Serikali kwenye hili imecheza kama pele,tena iangalie na mazao mengine kama parachichi na apples wafanye kama hivi
Huyio mwehu Mkenya tungeanza kumpuuza na kumkazia moderator apite nae, ili aje na uraia wake wa Kikenya.

Anadai Mogadishu ni zaidi ya Dar 🙄

 
Hahahaha, hii ndio maana halisi ya kuwa "brainwashed". Mkuu hakuna kitu Kama hicho, hata wanaamini Sayansi pia wanaamini kwamba 'Nature ndio Alfa na Omega.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Organized religion inaleta manufaa mengi lakini pia hasara kibao. Ukienda kanisani unaenda kusikiliza na kuondoka. Lolote atakalosema priest na Wewe unapokea bila ku-QUESTION. Religion imeondoa ability ya watu kuwa na critical thinking maana ni RADICALIZATION of the masses. Tofauti na shule, huwezi kuuliza maswali kanisani na Ndio Maana faith-based beliefs ni STRONG kwenye jamii ya evangelical Christians.

Kitu ambacho hawafahamu ni historia ya ukristo kwenye nchi zao na IMPLICATIONS Za dini. Wakoloni waliamini kuwa jamii zote duniani ambazo haziufahamu ukristo ni savages/uncivilized peoples. Lakini Afrika ilikuwa na civilizations zake kabla hata ya wazungu kuja na meli zao. Walikuwa na tamaduni zao na dini zao. Kuna jamii Afrika ushoga ilikuwa ni kitu cha kawaida. Na hii ni trend kwenye jamii nyingi zilizopitia ukoloni.

Lakini wakoloni wakaleta dini ya Ukristo na Sheria zao za serikali KUTENGUA tamaduni za watu wengine ili kuwatawala. Ndio Maana sehemu nyingi Afrika history was ERASED. Na sehemu ambayo ninakubaliana na Wewe zaidi ni kwenye BRAINWASHING kwasababu wakoloni waliitumia hii njia kwa juhudi sana Maana kuteka mtu kiakili ni more effective kuliko namna nyingine zote. Kwamba ukiwa Mkristo wakati huo ulikuwa unapata favors kama elimu, nguo, chakula kizuri, n.k. Kwa hiyo ilikuwa rahisi sana Kwa watu kukimbilia upande wao. Wao walichotaka ni kuondoa tamaduni walizozikuta na walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana Afrika.

Lakini mpaka leo brainwashing inaendelea japokuwa si wazungu wanahusika bali waafrika. Na dini ina nguvu sana kwenye jamii Za kiafrika kwasababu ya umasikini. Watu wasio na ajira Au pesa wanapenda kutafuta tumaini. Wakisikia mtu anawaambia Mungu atakupa kazi ingalau mioyo yao inapata faraja. Ndio maana hata religious cults kama ile ya Kenya ilikuwa ni rahisi sana kuwaambia watu wakatae chakula ili wafe waende “mbinguni” kwasababu ni brainwashing ya kuwapa tumaini kuwa japokuwa wanapitia shida wakifa kuna sehemu Nzuri inawasubiri.
 
Mkuu, Kila kitu kina maelezo yake ya kisayansi, unaweza ukaamua kukataa maelezo ya sayansi na kubaki na Imani yako, hiyo ni hiari yako. Muhimu ni Kila mtu awe huru kuamini kile ambacho akili yake inakiamini na kukielewa, kwasababu hata nikikuomba ueleze "roho" ni nini na nikiomba uweke ushahidi wa kuwepo kwa hiyo "roho" utarudi Kule Kule kwenye nadharia na Imani za dini.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Siyo kweli, mambo mengi sana bado hayana maelezo ya Kisayansi. Mfano bado watu hawajaweza kuelezea Mpemba effect .
 
DR wanaoigana tunapakana nao vipi mbona wasiende kusaidiwa?

Zimbabwe,Namibia,Angola,South Africa Zina mpaka upi na Tanzania Hadi usalama Wetu uwe mashalani?
Miaka ile ya kulikuwa na wimbi kubwa la kujitanua kwa utawala wa makaburu, waliichukua Namibia, akaja Ian Smith kuichukua Southern Rhodesia na alikuwa na mpango wa kujitanua North. Makaburu kwa kushirikiana na Jonas Savimbi walikuwa wanapigana kuichukua Angola. hivyo ilikuwa ni suala la muda tuu kutufikia.
 
Miaka ile ya kulikuwa na wimbi kubwa la kujitanua kwa utawala wa makaburu, waliichukua Namibia, akaja Ian Smith kuichukua Southern Rhodesia na alikuwa na mpango wa kujitanua North. Makaburu kwa kushirikiana na Jonas Savimbi walikuwa wanapigana kuichukua Angola. hivyo ilikuwa ni suala la muda tuu kutufikia.
Swala halikuwa muda, swala ni kuwa zilipigwa mpaka wakachemka na wakashindwa.

Tujipongeze.
 
Miaka ile ya kulikuwa na wimbi kubwa la kujitanua kwa utawala wa makaburu, waliichukua Namibia, akaja Ian Smith kuichukua Southern Rhodesia na alikuwa na mpango wa kujitanua North. Makaburu kwa kushirikiana na Jonas Savimbi walikuwa wanapigana kuichukua Angola. hivyo ilikuwa ni suala la muda tuu kutufikia.
Porojo za kipuuzi ulizipata kwenye kitabu gani?

Kaburu alikuwa anapigana kuunga mkono vikundi vyenye Itikadi sawa na wao Ili kuwaondoa wenye Itikadi za Kijamaa.
 
we huna akili kabisa!

Sasa, mwandishi kakudanganya na figures za $6B, lakini hujaona 20yrs. Hebugawanya hiyo $6B / 20yrs = uone unapata ngapi kila mwaka, ni investment ndogo sana kwa mwaka.
Wewe siku zote Huwa una stress sana 😁😁
Ulivyo nyumbu Til.1 plus tena za pepfar tuu ni pesa kidogo? Hapo Bado USAid, MCCL, program support eg from bill& Melinda gates foundation,direct budgetary support,training nk
Bila beberu Marekani wangekuwa wamekufukia umeoza kitambo fala wewe.
 
Mkuu, Mimi ni muumini wa Sayansi na ninaijua vizuri Sana, ukichunguza kwa makini Sana, utaelewa kwamba viumbe vyote "once vilianzia Kama "Single cell organisms, kuanzia hapo safari ya multiplication of single cell ikaanza na species mbalimbali zikajitokeza kutokana na nguvu za mazingira za maeneo husika na vipindi mbalimbali katika umri wa Dunia.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kutoka a primitive unicellular organism kama amoeba mpaka kuja kujiongeza na kuwa a multicellular mammal mwenye complex systems, ni intelligence ya "nguvu ya kimazingira" gani iliyotumika?
Uzuri wa Sayansi ni kwamba ni kitu kinachokua na kubadilika Kila siku.
Not according to your hero Dr Fauci. Remember this? "Trust the science" as if science never change.
 
Back
Top Bottom