Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha, wamehamishia kwenye Elimu, hawa watu ni wajinga Sana, wanakubali kwamba Kila kitu Tanzania inafanya vizuri kuliko wao, lakini bado hawakubali kwamba Tanzania itawapita na kuwa Superpower.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kinachotufelisha sisi ni human capital na uongozi mbovu inabidi tuboreshe elimu yetu na uongozi


Lakini tuna kila kitu cha kutufanya tuwe bora maradufu rasilimali kama zote
 
Kabisa kaka hasa ile habari ya kusajili makampuni nayayonunua mahindi Tanzania ni nzuri sana unajua wakenya wakula sana vitu vya bure kwa kwa kupitia mgongo wa residential status. Watu wa Kodi wananielewa.
Tunawabana kila sehemu . tatizo lao wanapenda shortcut na wizi wapo greedy sana walitufanyia upumbavu mwingi kwenye utalii na tanzanite


Lakini Magufuli alianza nao mama anaendelea tu kwahyo siku zote ukitumia short cut na tamaa inaangukia pua pale utapodhibitiwa .


Naomba serikali yetu iwekeze kwenye viwanda tuanze kupunguza ku import products za wiwanda vyao ambazo zinatokana na exports zetu

Hapo tutakuwa tumemuweka mtu kati


"A pawn "
 
Kinachotufelisha sisi ni human capital na uongozi mbovu inabidi tuboreshe elimu yetu na uongozi


Lakini tuna kila kitu cha kutufanya tuwe bora maradufu rasilimali kama zote
Mkuu, usikubali kunasa katika mtego wa wakenya, Kama wanakiri kwamba Kila kitu tunawapita kwa Kasi, ni kigezo gani kinawafanya waseme hatuna "human capital?", au kwamba Education system yetu ni mbaya wakati vigezo vyote vinaonyesha kwamba Tanzania tupo vizuri kuwazidi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Yaani congo azunguke kote huko Kenya Uganda ndio afikiwe ...Congo Aingie loss kutengeneza train nyingine wakati kuna sgr link DRC -Brd na Tz aliopakana nao Kama ni antilantic ocean wanaunga mpka port matadi au Angola ndio plan yao


Wameshaanza kupagawa hawa watu tushawatia pressure na ndio hicho tunataka sisi tunaenda taratibu bila pupa
 
20230531_135519.jpg
 
Tunawabana kila sehemu . tatizo lao wanapenda shortcut na wizi wapo greedy sana walitufanyia upumbavu mwingi kwenye utalii na tanzanite


Lakini Magufuli alianza nao mama anaendelea tu kwahyo siku zote ukitumia short cut na tamaa inaangukia pua pale utapodhibitiwa .


Naomba serikali yetu iwekeze kwenye viwanda tuanze kupunguza ku import products za wiwanda vyao ambazo zinatokana na exports zetu

Hapo tutakuwa tumemuweka mtu kati


"A pawn "
Unaweza kuzitaja hizo bidhaa tunazoagiza toka Kenya zinazotokana na exports zetu?

(Naomba serikali yetu iwekeze kwenye viwanda tuanze kupunguza ku import products za wiwanda vyao ambazo zinatokana na exports zetu )

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom