ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,266
Nimesahau link but nilisoma somewhere kwamba pesa za csr zitaenda kutumika Morogoro na ni mabilioni ya Shilingi..CSR ya mradi wa dollars zaidi ya billion 3 (trillion 6)haiwezi kuwa Tsh billion 4
Hii ni ya Tanesco wao wenyewe


