Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu, Kila kitu kina maelezo yake ya kisayansi, unaweza ukaamua kukataa maelezo ya sayansi na kubaki na Imani yako, hiyo ni hiari yako. Muhimu ni Kila mtu awe huru kuamini kile ambacho akili yake inakiamini na kukiekewa, kwasababu hata nikikuomba ueleze "roho" ni nini na nikiomba uweke ushahidi wa kuwepo kwa hiyo "roho" utarudi Kule Kule kwenye nadharia na Imani za dini.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hahahahaha sayansi sayansi hio sayansi inakataa dini lakini kwa nyuma ya pazia inajua dini ipo na kuna mwanasayansi mmoja aliegundua chuma alikiri kua vitabu vya dini vilisema juu ya chuma na akakiri ni kweli asili ya chuma sisi tunajua ni ardhini lakini chuma asili yake ilitoka juu😁😁😁😁
 
Ndio maana Huwa namlaumu baba wa Taifa, kutumia rasilimali zetu na Nguvu kazi yetu Kwa Ajili ya kupihania na kujenga Nchi za watu bila makubaliano ya kutulipa Kwa kisingizio Cha undugu..

Hakuna Taifa linawachukulia Watzn eti ni ndugu labda kwenye ngazi za Kisiasa ila huku chini unachezea kichapo kama kawaida.

Imagine watu wanalaumu Hadi Kuuwawa Kwa Gadafi ambae alidiriki kumsaidia Idd Amini Ili atupe kichapo..

Matatizo ya Nchi yali burst baada ya vita ya Uganda.

Mwisho urafiki uendane na kusaidiana sio hadithi zisizo na msingi,Bora hata Cuba ukiacha mambo ya ku train human power Bali walitoa pesa za kujenga Barabara ya Morogoro Dom na Songea Njombe kama sijakosea..

China pia Wana Cha kuonesha kama Tazara nk hao Russia mnaoshobokea walifanya kipi Cha kuonekana zaidi ya kujifichia kwenye ku train human power na hadithi za kufikirika huko jeshini?
Ilikuwa ni kwa ajili ya Ulinzi na Usalama kwa nchi yetu. Bila hao majirani kuwa na usalama wangetumika kama kichochoro cha kuipiga Tanzania.

Kuna mwaka makomandoo wa kikaburu waliwahi kujipenyeza hadi Dar na kulipua daraja la Salender, na kulikuwa na operations nyingi zinafanyika, hivyo bila kuzikomboa hizo nchi hata hii amani tuliyo nayo tusingeipata.

Kenya wanajinasibu kuwa na uchumi mzuri ni kwasababu kipindi sisi tunazikomboa nchi za Kusini mwa jangwa la Sahara wao hawakujishughulisha kusaidia yoyote(Walikuwa wanajenga uchumi wao na kuharibu wa kwetu). Ingekuwa hatuna amani wao ndio kabisa ingekuwa nchi hovyo kabisa.
 
Ilikuwa ni kwa ajili ya Ulinzi na Usalama kwa nchi yetu. Bila hao majirani kuwa na usalama wangetumika kama kichochoro cha kuipiga Tanzania.

Kuna mwaka makomandoo wa kikaburu waliwahi kujipenyeza hadi Dar na kulipua daraja la Salender, na kulikuwa na operations nyingi zinafanyika, hivyo bila kuzikomboa hizo nchi hata hii amani tuliyo nayo tusingeipata.

Kenya wanajinasibu kuwa na uchumi mzuri ni kwasababu kipindi sisi tunazikomboa nchi za Kusini mwa jangwa la Sahara wao hawakujishughulisha kusaidia yoyote(Walikuwa wanajenga uchumi wao na kuharibu wa kwetu). Ingekuwa hatuna amani wao ndio kabisa ingekuwa nchi hovyo kabisa.
DR wanaoigana tunapakana nao vipi mbona wasiende kusaidiwa?

Zimbabwe,Namibia,Angola,South Africa Zina mpaka upi na Tanzania Hadi usalama Wetu uwe mashalani?
 
Hahahahaha sayansi sayansi hio sayansi inakataa dini lakini kwa nyuma ya pazia inajua dini ipo na kuna mwanasayansi mmoja aliegundua chuma alikiri kua vitabu vya dini vilisema juu ya chuma na akakiri ni kweli asili ya chuma sisi tunajua ni ardhini lakini chuma asili yake ilitoka juu
Mkuu, wakati vitabu vya dini vilikua vikisisitiza kwamba mtoto anatokana na kuchanganya damu kati ya baba na mama, sayansi ilikua kuwaonyesha kwamba mtoto hatokani na machanganyiko wa damu ya wazazi, dini zikabaki kuduwaa.

Wakati vitabu vya dini vinasisitiza binadamu kuzidisha ibada pale wanapokumbwa na matatizo makubwa ya Dunia Kama magonjwa Ili Mungu aweze kuwatatulia matatizo Yao, tumeshuhudia Vatican ikisimamisha ibada zote, na Saudia Arabia kufuta ibada muhimu kabisa ya Hijjah kwa kufuata maagiza ya wanasayansi na kuachana na maagizo ya Mungu ya kuzidisha ibada kwa kuogopa COVID-19.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Alimaanisha wana uwezo wa kuzaa kwamba akiingiliana na mwanamke, sasa kama kuzaa mpaka aingiliane na mwanamke lengo hasa la kuwa shoga ni nini.
Hili jambo liko kiroho zaidi japo watu wanalichukulia kimwili. Watu wa imani za dini wanaliita ni ushetani. Nakubaliana nao.

Yaani mwanaume anakuwa anawashwa washwa na kunyemvuliwa huko nyuma na anapata hisia kama za mwanamke.

Kwahiyo anakuwa anahitaji kukunwa na kusuguliwa ili apate raha zaidi.

Tukubali tukatae shetani yuko nyuma ya hiki kitu. Haiwezekani mwanaume mzima umtamani mwanaume mwenzako halafu iwe kama vile mke na mume.

Kuna mtu mmoja amesema hata Jesus hakukemea hili ila alifundisha upendo,namkumbusha kwenye Kumbukumbu la Torati alisema mwanaume asilale na mwanaume mwenzie kama mke, ni machukizo makuu kwa Mungu.
 
Mkuu soma hii post hapa chini

(Twiga, national animal wa Tanzania wana-engage in male-male sex more often than male-female sex. So most giraffes are actually homosexual. According to religion, these creatures were created by God. If God is all knowing and all seeing, how could he have made such a “mistake?”)

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Dini ilikuja kwa ajili wanyama au wanadamu?
 
Mkuu, wakati vitabu vya dini vilikua vikisisitiza kwamba mtoto anatokana na kuchanganya damu kati ya baba na mama, sayansi ilikua kuwaonyesha kwamba mtoto hatokani na machanganyiko wa damu ya wazazi, dini zikabaki kuduwaa.

Wakati vitabu vya dini vinasisitiza binadamu kuzidisha ibada pale wanapokumbwa na matatizo makubwa ya Dunia Kama magonjwa Ili Mungu aweze kuwatatulia matatizo Yao, tumeshuhudia Vatican ikisimamisha ibada zote, na Saudia Arabia kufuta ibada muhimu kabisa ya Hijjah kwa kufuata maagiza ya wanasayansi na kuachana na maagizo ya Mungu ya kuzidisha ibada kwa kuogopa COVID-19.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kuna vitu kibao sayansi imeshindwa mpaka leo, sayansi tunaikubali lkn haiwezi kila kitu mzee.
 
Wanajifanya wana sayansi hawana dini ? sayansi ilijuiliza kuhusu wapi chuma inatoka zaidi ya karne 5 majibu hawana wakaja kupata kwenye kitabu cha dini na mwanasayansi huyo alikiri kabisa waziwazi
Sayansi mpaka leo imeshindwa kutoa jibu la tiba za magonjwa mengi tu mfano HIV, sayansi mpaka leo imefeli kutambua rangi ya upepo na wala shepu ya upepo, sayansi imeshindwa kutambua kwann kuna usiku, kwann kuna mchana na kivipi dunia inajiendesha kwa system kwamba miaka nenda rudi inajiendesha hvyo hvyo.

Sayansi imeshindwa kutambua chimbuko la mwanadamu ni nini, wanabaki kuongopa eti ni nyani, haya uyo nyani naye chimbuko lake ni wapi? Majibu hakuna.

Tuende mbele turudi nyuma japo sayansi tunaikubali mana nayo imetupa maendeleo fulani japo siyo makubwa kivile lkn kuna kitu fulani kipo nyuma ya pazia ambaye ndiye Mungu, uhai usitupe kiburi cha kuanza kuhoji uwepo wa muumba wetu.

Ok, mm sio mtu wa udini udini na huwa sipendi sana mijadala ya kidini lkn nina imani kubwa sana na muumba mana nikijiangalia tu naona nguvu yake, hata kama sio Mungu lkn huyo mwenye uwezo wa kuifanya dunia hivi ilivyo ndiyo kwangu namuita Mungu na hakuna cha kunirudisha nyuma, nitapinga ushoga, nitapinga ushenzi wowote ule kwa imani yangu.
 
Kuna vitu kibao sayansi imeshindwa mpaka leo, sayansi tunaikubali lkn haiwezi kila kitu mzee.
Hata dini mkuu, zimeshindwa na kukosea katika maeneo mengi kushinda hata sayansi. Uzuri wa Sayansi ni kwamba ni kitu kinachokua na kubadilika Kila siku. Quran na Bible ndio zimefika mwisho, there is no new updates ",,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wanajifanya wana sayansi hawana dini ? sayansi ilijuiliza kuhusu wapi chuma inatoka zaidi ya karne 5 majibu hawana wakaja kupata kwenye kitabu cha dini na mwanasayansi huyo alikiri kabisa waziwazi
Na ukitaka kugundua nguvu ya Mungu basi angalia utoaji wa riziki, inazunguka leo kwa huyu kesho kwa yule, yani kwenye riziki ndipo nauona ukuu wa Mungu.
 
Back
Top Bottom