nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,127
- 1,839
ona ulivyo mbumbumbu, kiswahili ni shida sana hata kuelewa, Raisi Samia amezungumzia awamu za SGR alizozisimamia yeye kama raisi. Phase one ilijengwa kwa fedha za ndani wakati wa Magufuli, phase ya pili tulijenga kwa fedha za ndani na mkopo kidogo. Hapa inazungumziwa phase ya tatu na kuendelea mpaka DRC!SGR Tanzania ni full loan.
View attachment 2452931

