Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar hadi Moro ndiyo fedha za ndani, na hadi JPM anaondoka ilikuwa imeshakamilika reli yote ilibaki vitu vya ziada tu.
Na alisema phase inayofuata mpaka Makutupora Dodoma ndiyo mkopo kwa asilimia kadhaa na alishauchukua yeye mwenyewe wa ujenzi huo aliusaini.

Atuambie mkopo aliyochukua ni wa phase ya ngapi.
Kweli kabisa, watu wanataka kuupindisha ukweli kwa sababu ya incompetence kama REAL Comrade Kipepe anavyosema.
 
Maumivu haya, Kibaka road huwezi linganisha na Expressway wala Thika Superhighway.., or Uganda's Entebe express highway.., mko nyuma bado.., elavated section ya expressway ni 11.2KM inakuuma sana hadi unajaribu kuidunisha eti 6km., pole mjukuu ukweli inauma sana., mko below Uganda 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 flyover gani hizo ziko Tz?.., ama ni zile ziko Dar pekee?.., mko down bado wacha kujitetea sana, haubadilishi lolote, unatia huruma tu..,
Eti mtu analinganisha Kibaha highway na Nairobi Expressway? He must be sick in the head. Hiyo Kibaha can't even come close to Thika Road sembuse Expressway?

Alafu kilaza anasema TZ kuna flyovers nyingi?😂😂😂😂
Do they have any flyover outside Dar? Hata kile kijiji cha Mwanza iko na kitu kinaitwa elevated road kweli? Hawa majirani wako nyuma kama mkia ya ng'ombe!
 
Mama amepiga hapa kujisafisha na hali yake ya ukopaji uliokithiri! Sio kweli kuwa vipande vyote ni mkopo.

Hawa walipinga yote ya Magufuli kwakua hatoweza. Urais sio sawa na uke wenza.
Na mbona huwa hatuambiwi pesa zilizokopwa kwa ajili ya sgr?
Zingine zote tunaambiwa, mfano za uviko 19 tuliambiwa na wakajenga madarasa
 
It was impossible for him to get a loan from the west to fund this project, they don't provide funds of this kind in Africa. China was the only country that was willing to do so but JPM didn't want them to have full control of the project, like they do in your country.

JPM thought process was ahead of the curve, he wanted us to participate fully in the project, without having to rely on any foreign entity in decision making, so he declined the offer. Phase one was divided into five sections, each one was to start individually whenever funds were available.

To keep the ball rolling, GOT fully funded the first section (Dar es salaam - Morogoro) and provided a portion of the money to start the second section (Morogoro - Makutupora), AfDB funded what was left off. So to say that we never funded any part of it with our own money, you must be higher than giraffe pussy.
The argument of most Tanzanians here is that Tanzania funded sgr through internal revenue sources and this came as a result of JPM constantly stating so. When Mama took over, she openly said that most of your projects, sgr included, are funded by loans. The point is, no one is denying that your government used some some to fund sgr, but to make people believe that it is Tanzanians' money 100% like JPM did is pure lies and dishonety.
 
Wakenya mlishawahi kuona mambo kama haya?

210415-10-Incat-Crowther.jpg
 
Ona hii kaka!

Hii ni PPP project, na huyo mtu ni wachina.
Kwa Tanzania ni sehem ndogo sana, mana mchina atajenga kuanzia Uvinza (mchepuko waa Tabora-Kigoma SGR) hadi Musongati (Burundi) hadi Gitega (Burundi).
Mim naona ni faida kwetu, mana kuna namna mchina atafanya hio kipande chake kiwe na faida hivyo kuleta faida kwa line yetu to Dar port
 
Hii ni PPP project, na huyo mtu ni wachina.
Kwa Tanzania ni sehem ndogo sana, mana mchina atajenga kuanzia Uvinza (mchepuko waa Tabora-Kigoma SGR) hadi Musongati (Burundi) hadi Gitega (Burundi).
Mim naona ni faida kwetu, mana kuna namna mchina atafanya hio kipande chake kiwe na faida hivyo kuleta faida kwa line yetu to Dar port
1671609316536.png
 
Line ya uvinza sidhan itafata ya Kigoma-Tabora hadi mwisho, itakuwa ni mchepuko kwenye line ya Kigoma-Tabora..
kwenye hio line ya uvinza-gitega, sehem ya Tanzania ni 180km, kwengine ni 187km.. sio mbaya, mchina lazima atajitahid line yake ipate faida hasa kutokana na uwepo wa Nickel Burundi.. ile ya kwenda DRC through Kigoma port, line ya Tabora-Kigoma itatumia faida kwa Tanzania, sio mchina
 
Bongolala our sgr can be electrified anytime we feel there's a need to do so. At the moment, our electricity demand can't allow us to do so. Remember Kenya produces more electricity than your country but due to our high demand, we still aren't able to electrify ours.

Nyinyi mnatengeneza umeme kidogo but due to your low electricity demand, you managed to electrify your sgr. Don't get emotional bongolala. We have no business getting jealous of a neighbour who produces less electricity and has lower demand for the same than us!
Umeme kwa treni ni kidogo sana, acha kujifariji
 
The argument of most Tanzanians here is that Tanzania funded sgr through internal revenue sources and this came as a result of JPM constantly stating so. When Mama took over, she openly said that most of your projects, sgr included, are funded by loans. The point is, no one is denying that your government used some some to fund sgr, but to make people believe that it is Tanzanians' money 100% like JPM did is pure lies and dishonety.
Tully, some of what was said here was trolling but JPM was very open about which project was funded by the GOT and which one was not. Do you think Akinwumi Adesina was frequently visiting Tanzania to see wild animals?
 
Back
Top Bottom