Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ninyi wakenya hakuna zaidi ni wivu tu, mnataka tulingane katika ujinga. Swali la kujiuliza ni kwamba, Tanzania ndiyo inayoongoza kwa miradi mikubwa hapa EA, thamani ya miradi iliyoanzishwa na JPM ni zaidi ya thamani ya miradi yote ya KE, UG, RW + BRD combined, iweje Tanzania iwe ndiyo nchi yenye deni dogo zaidi kuliko nchi zote?, Tanzania Debt to GDP ratio was 36% by the time Magufuli anakufa, the lowest in the region

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
What's your point exactly? Do you know better than your president who says all your major projects ni za loan? Ama unataka uwongo za mwendazake who even lied to you about the existence of covid, only to die of the same?
 
Enda ulilie kwa choo. You assemble nothing in bongolala.


Wao wanajiita Distributor, wewe unawaita manufacturer. Zinakutosha kweli!?

Screenshot_20221220-231238.png
 
What's your point exactly? Do you know better than your president who says all your major projects ni za loan? Ama unataka uwongo za mwendazake who even lied to you about the existence of covid, only to die of the same?
Who are you to choose for us which president to believe between Magufuli and Samia?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Enda ulilie kwa choo. You assemble nothing in bongolala.


Hvi umenielewa nilichokuuliza ww kenge 🤣🤣🤣🤣 kwa taarifa yako landcruiser nyingi sana zinatoka dubai au south africa na baadhi japan yani hili hata sitaku kubishana na we manake ntakuaibisha unichukie bure
 
I know what you want to hear and worse, you don't want to hear the truth. I do know and acknowledge your exceptional level of stupidity, but I still have reservation for you.

From these pictorial evidence, you can easily identify poor leadership.

Uhuru Kenyatta
View attachment 2452952

John Magufuli
View attachment 2452953
What 'truth' do you want me to hear? That you finance your mega projects from internal sources? Well, I am not stupid!

Look, I am not that gullible like you and your fellow Tanzanians are. Unlike you, I can detect lies thousands of kilometers away.

About poor leadership, our government delivered sgr as per what they promised. Ours is working while yours has become a case of 'wait and see'. And did they deliver bullet trains as they promised they would? If you think having an electric train is a big deal then you are wrong. Ours can be electrified anytime we feel doing so won't put our electricity peak demand at risk.
 
Wanataka kudanganyia mama yet tuliwaambia humu hawana uwezo was kujenga SGR na pesa zao hawakuskia. Tukawaambia tofauti ya Tz na Kenya ni kuwa Kenyan government is more open to criticism hawakuskia. Waache taasubi ya kiume kumuonea mama bure.

Cc Geza Ulole tuusan Walker255 game over Simon
It is simply common sense. There's no way an economy the size of theirs can do all the major projects they've been doing and still remain liquid. Tanzanians are so gullible I tell you!
 
Back
Top Bottom