The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kuna mtu ulimnyoosha humu mpk akabadilika akawa upande wa Kenya mpk kesho anaiponda nchi yakeNarudi tena kwenye uzi wetu pendwa niwanyooshe wakunya.









Kuna mtu ulimnyoosha humu mpk akabadilika akawa upande wa Kenya mpk kesho anaiponda nchi yakeNarudi tena kwenye uzi wetu pendwa niwanyooshe wakunya.









Hupendi kwani sio nyinyi munapewa chakula na nchi zenye jangwa 🤣🤣🤣🤣🤣Nchi ya misaada😂😂
Amekua muongo kwasabbu alifanya makubwa sana amabyao hamkuyapemda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Magufuli was the biggest liar the world has ever seen 😂😂😂
Rot in hell, liar.
View attachment 2453052
Makubwa gani amefanya?Amekua muongo kwasabbu alifanya makubwa sana amabyao hamkuyapemda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ww jidanganye na kutumia energy nyingi ila ukweli wa mambo tunajua sisi wenyewe na bahat nzuri reli haikuanza leo 🤣🤣🤣🤣Makubwa gani amefanya?
Sasa kwnn unamchukia kama sio rais wako na hakukuongopea wewe wala Wakenya? Unamchukia kwnn wkt hakuwa rais wa Kenya? Kitu gn kinafanya Wakenya mumchukie zaidi Magufuli kuliko rais yeyote wa Tz? Kuna nn kimejificha hapo, je mnaipenda zaidi Tz kuliko Kenya?










Reli ilikuwa idea ya kikwete, sio huyo Kiparangoto.Ww jidanganye na kutumia energy nyingi ila ukweli wa mambo tunajua sisi wenyewe na bahat nzuri reli haikuanza leo 🤣🤣🤣🤣
Sasa unamchukia kwnnReli ilikuwa idea ya kikwete, sio huyo Kiparangoto.















Hapa nayo tusidanganyane, Tanzania hamfikii hii level soonKenya bado wanaringa na expressway mradi wa hela kiduchu sana
Why should I hate that short and bald man? Hating him will not help me. Again why should I hate a dead man?Sasa kwnn unamchukia kama sio rais wako na hakukuongopea wewe wala Wakenya? Unamchukia kwnn wkt hakuwa rais wa Kenya? Kitu gn kinafanya Wakenya mumchukie zaidi Magufuli kuliko rais yeyote wa Tz? Kuna nn kimejificha hapo, je mnaipenda zaidi Tz kuliko Kenya?![]()
I don't hate short and bald people.Sasa unamchukia kwnn![]()
Ukiona hivyo ujue. Huyo mtu hana msimamo. Ni aina ya watu wasio na Ethics, Moral and Values.Kuna mtu ulimnyoosha humu mpk akabadilika akawa upande wa Kenya mpk kesho anaiponda nchi yake![]()
Flyover zimejaa kibao Tz kwa ss, hakuna infrastructure ipo Kenya isiwepo Tz ila kuna infrastructures kibao zipo Tz huwezi pata East and Central Africa hata ulie huwezi badili huo ukweliHapa nayo tusidanganyane, Tanzania hamfikii hii level soonView attachment 2453063







Umeshawahi kupata mtoto!?I don't hate short and bald people.