Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Assembled in Kenya for the police.

Volkswagen Tiguan
NPS receives 40 new vehicles in leasing programme

National Police Service-Kenya on Twitter: The National Police Service has  received a fleet of 40 Volkswagen Tiguan vehicles. The vehicles were handed  over to the NPS Director for Planning and Logistics Mr.


Image


Proton X70

Kenya police adds Malaysian firepower to its arsenal in the form of Proton  X70 patrol cars | WapCar



Kenya police adds Malaysian firepower to its arsenal in the form of Proton  X70 patrol cars | WapCar
 
Magufuli kaondoka phase one na two ziko asilimia ngapi? Wewe unajua utaratibu wa malipo Serikalini ni wa awamu (as per certificate), unadhani hizo percentage pesa zilitoka wapi? Alafu vipi kuhusu phase 3,4,5 na leo 6……hizo hela zinatoka wapi?

Magufuli aliacha Bwawa liko below 20% leo linakimbia over 70%, hizo zote ni hela.

Magufuli aliacha BRT phase 2 ikiwa inasuasua, leo tumepata pesa hadi ya phase 5.

Magufuli aliacha ndege 6 nadhani, Samia kaongeza tano zinakuja.

Mji wa Serikali Dodoma, Magufuli aliacha wizara zinatumia majengo madogo, Samia kaongeza hela wizara zote zinamalizia majengo yao makubwa kuwezesha watumishi wote kuamia kule.

Barabara, Samia kaweka hela za kujenga ring road Dodoma over 105km, hapo sijaweka za TARURA.

Daraja la Busisi JPM aliacha liko chini ya 20% leo limefika 60%,

Miradi iko mingi na hizo zote ni hela ambazo bajeti yetu haiwezi kussuport. Huu ndio ukweli. Tuendelee kukopa au tulipe kodi, tuchague tunataka nini…..!!
Una habari Tumeanza kukopa kulipa madeni?
 
Mko na flyover mbili pekee Tanzania nzima.
Unatia huruma wallahi, najua unapitia kipindi kigumu sana ila utazoea. Tz tumetumia miaka saba (7) tu kuzidi flyover zenu za tofali, mbaya zaidi sisi tumejenga modern flyover na tushawazidi kwenye flyover, huu msemo wako ulikuwa unafanya kazi miaka mitano iliyopita sio sasa, tuko juu yenu kwa kila kitu, ila pole kwa kuku disappoint
 
Of course lies is sweet to the ears. Because you want to hear something that's pleasing to your ears, it's not rocket science to guess who you believe between the two
Like wise is very cristal clear for Kenyans who are always jealous especially when they see their country can't even build a single kilometer of electric railway to believe that there is a country can do that just next to them, nothing but jeolous

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom