Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,352
- 5,414
Hiyo yako ina fungu asilimia ngapi ya pesa za maendeleo? Kati ya hizo kiasi gani inatokana na mikopo na misaada na kiasi gani ni mapato ya kodi? Kwahiyo tujenge reli tu tuache kila kitu? Ndio shuleni kwako mlifundishwa uchumi wa namna hiyo?Bajeti ya trillion 35 ni bajeti ya mwaka mmoja, SGR itamalizika 2026 kuanzia 2017, hiyo ni miaka 9, Kama ukifanya hesabu ni 35trl x 9 = 315trl. Kwa kutumia akili yako vipi inawezekana au haiwezikani kujenga SGR ya 23trl kutoka kwenye bajeti ya 315trl?.
Halafu hiyo miradi mingine uliyotaja BRT, Dar na Msalato Airports sio pesa za ndani, ila Bwawa la Nyerere ni pesa za ndani. Jaribu kufikiria kabla ya kuandika kitu, sio wote hapa ni mbumbumbu Kama wakenya.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yes hiyo miradi ni mikopo, kwani hapa tunazungumzia kitu gani? Samia kakopa ajenge ndio unaona hilo deni limekua. So wewe ndio mwanafunzi kipanga wa REAL Comrade Kipepe umekuja kumtetea mwalimu wako? Kumbe baba zenu waliuza ng’ombe wapeleke ng’ombe zingine shule…….bure kabisa!!!

