Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Our SGr has been functioning for 5 years now. Yenu bado inangoja trains za mitumba ndio ianze kazi🤣😂🤣🤣
Na haijawah zalisha faida mpaka dunia itasimama 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Does this dispute the fact that mlikopa kuanzia phase one hadi mwisho?😂😂🤣😂🤣


Kumbe phase two ni from tabora to kigoma to rwanda and burundi and congo and to uganda also ndio nimejua leo 🤣🤣🤣🤣
images (35).jpeg

 
Na haijawah zalisha faida mpaka dunia itasimama 🤣🤣🤣🤣🤣
Focus on your loans achana na Kenya. Magufuli aliwadanganya ati mnajenga SGR kwa pesa za ndani, saa hii ukweli inajulikana😂😂🤣😂

 
Our SGr has been functioning for 5 years now. Yenu bado inangoja trains za mitumba ndio ianze kazi🤣😂🤣🤣
Nina uhakika utakimbia siyo muda mrefu

Kenya borrowed more than $3 billion from China to build the 472-kilometer railway from Mombasa to Nairobi.
Cost per KM $6355932.20338
 
Nina uhakika utakimbia siyo muda mrefu

Kenya borrowed more than $3 billion from China to build the 472-kilometer railway from Mombasa to Nairobi.
Hatujaikataa ati tulikopa. Nyinyi mlidanganywa na yule kiparangoto ati mnajenga SGR kutumia pesa za ndani kumbe ni full loan kwanza centimeter ya Kwanza hadi mwisho🤣😂😂😂

 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe awamu ya pili sasa imeanza raha sana

 
Back
Top Bottom