Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

TABORA KIGOMA SGR- CONTRACTOR AMEPATIKANA

Tanzania inakwenda kuwa among of the top giant wa public transport and logistics in Africa. 1800km of electrified SGR sio mchezo, hapo hujaweka over 100km za BRT Dar only, hatujazungumza kuhusu meli zinazojengwa kwenye maziwa makuu na bahari, alafu nimesahau……..kuna pia viwanja vya ndege na bus stages sijaona ukanda huu. Yaani utakuwa unachagua tu……niruke juu, nidandie gogo, nizame majini au ni-hit the road? Tukimaliza haya tunaanza kurestructure miji yetu iwe ya kisasa zaidi. Maniner…….the future is bright, I need sunglasses.

Majirani mtatukuta pale juu tumepumzika mkifanikiwa kufika, probably by 2050😂😂
 
Endeleeni kupeleka pesa Kenya na China. We enjoy the money as we sleep soundly like children .View attachment 2452504
Wow from kenya 🤣🤣🤣🤣
20221220_114926.jpg
 
Jeuri hio hamuna na hamutakua nayo 🤣🤣
Sasa hatuna na already we are doing exactly that? Uganda walianza ujinga tukaacha kununua umeme wao hadi ikabidi wabembelezane. Alafu don't forget that we have more MW kuwaliko so that Dam won't be of much help to us.
 
Mkileta ujinga hatutanunua. Remember we have other options as well na pia we continue to produce ours.
Kwn unadhani mnanunua kwa kupenda? Ni lazima mnunue mtake msitake na mkileta upumbavu pia hatuwauzii, tuna soko kubwa kule SADEC (ukanda wetu) nyie maskini wa EA tutakuwa tunawauzia kwa masharti ya kuchukua baadhi ya mali zenu ili tuwatawale vzr [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwn unadhani mnanunua kwa kupenda? Ni lazima mnunue mtake msitake na mkileta upumbavu pia hatuwauzii, tuna soko kubwa kule SADEC (ukanda wetu) nyie maskini wa EA tutakuwa tunawauzia kwa masharti ya kuchukua baadhi ya mali zenu ili tuwatawale vzr [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunaelekea universal coverage na huo umeme wenu sio lazima kwetu. Nyinyi mpambane na Uganda at least mfike hata 41% connectivity.

image_52717f69-6116-4c88-8d58-fa54c1b9cdaf20210323_064236.jpg
 
Back
Top Bottom