Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naombeni kueleweshwa hapa hasa kwenye kipengele cha umeme.

Tanzania tuna vijiji 12,000.Vijiji 10,000 tayari vina umeme, bado vijjji 2,000 tu.

Swali langu hawa wapiga takwimu wametumia vigezo gani kuweka asilimia 33% za kuunganishwa umeme wakati karibia tusambaze Tanzania nzima?

Hapo umeme unakuwa unaenda wapi, TANESCO wanawawashia wanyama?
Katika kijiji kuna vitongoji,unaweza kuta kijiji chenye umeme 3/4 ya vitongoji vyake hawajaunganishwa ,Ndio mana wizara inaenda kwa awamu
 
Back
Top Bottom