Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Swali langu ni moja tu huko umeme unakopita hakuna nyumba? Wasipounganishia watu maana yake umeme unapotea bure,Kwanini TANESCO wajipige hasara? Kazi yao ni nini hasa,kwamba wanapeleka umeme vijijini au wanawapelekea wananchi umeme ambao wako vijijini baada ya kuwaunganishia wa mjini?
Sasa mkuu ushauri wako ni upi?. Serikali imeshusha Bei ya kulinganisha umeme vijijini hadi TSH 27,000 ili kuwezesha wananchi wengi kuingiza umeme majumbani mwao. Kama mtu Hana uwezo wa kulipia hata hiyo pesa, ni wazi kwamba hawezi kulipia bili za kila mwezi kwa hiyo hata TANESCO wakiunganisha Bure, hawawezi kupata faida.

Mkuu, unalosema kwa TANESCO unapaswa pia ulise kwa wizara ya maji, walishafikisha maji mitaani, pia waingize majumbani ili watu watumie maji kwa wingi wapate faida.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
8 hour power-cuts in South Africa. The most developed country in Africa. Africa sijui tulirogwa na nani?


Indeed SA is the most developed Nation in Africa,
The difference between Kunya and South Africa considering power outages is that South Africa consumes more power than it generates,
South Africa produces over 50,000 MW na bado hautoshi, Kenya produces only 2,000 MW (see the difference?)
Reason : Massive Industries in SA consume a lot power, plus huge mines kule Witwatersrand.
 
Kwa sababu nyinyi mnafanya ujinga wa kuhesabu idadi ya vijiji vilivyounganishwa kwa umeme badala ya idadi ya nyumba zilizounganishwa kwa umeme. Idadi ya nyumba Tanzania ambazo zimeunganishwa kwa umeme ni chini ya 45%. Hapa Kenya idadi ya nyumba zilizounganishwa kwa umeme ni zaidi ya 75%.
Huo umeme mmeufikisha kwa mifuko ya Rambo kwenye hizo nyumba? 😂😂😂😂

Mbona ninyi mnapenda uongo sana?

images (15).jpeg
images (17).jpeg
 
Back
Top Bottom