Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Dar CBD ni kadogo, it is now clear., wamechukua kama sehemu ya Eastlands wakaweka ndani, nyumba za wahindi na waarabu.., na soko ya Eastleigh., 😂 😂 😂Alafu ukicheki
CBD ya Dar imejaa apartments ,tena old apartment..ukitoa hizo apartments hio city inabaki sijui aje..na watu wanaishi CBD..Nairobi huwezi pata watu wanaishi CBD..CBD Mostly ni za offices and business
