Na hii mbona haifananii kama locomotive ya passengers njoo na uongo mwingine tafadhali.Wacha upuuzi mzee. Nani amekuambia kwamba tuna locomotive aina moja? Tuna locomotives aina tofauti tofauti. Sijui unapingana na mimi kwa nini? Tazama hii video. Hio ya pili ndio passenger locomotive. Hizo zingine tatu ni cargo locomotive.
Cc Geza Ulole Sama boy 255
Hata horsepower ni tofauti. Nipo sure ya cargo ina horsepower kubwa kushinda ya passenger.
