Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Kwa sababu nyinyi mnafanya ujinga wa kuhesabu idadi ya vijiji vilivyounganishwa kwa umeme badala ya idadi ya nyumba zilizounganishwa kwa umeme. Idadi ya nyumba Tanzania ambazo zimeunganishwa kwa umeme ni chini ya 45%. Hapa Kenya idadi ya nyumba zilizounganishwa kwa umeme ni zaidi ya 75%.Naombeni kueleweshwa hapa hasa kwenye kipengele cha umeme.
Tanzania tuna vijiji 12,000.Vijiji 10,000 tayari vina umeme, bado vijjji 2,000 tu.
Swali langu hawa wapiga takwimu wametumia vigezo gani kuweka asilimia 33% za kuunganishwa umeme wakati karibia tusambaze Tanzania nzima?
Hapo umeme unakuwa unaenda wapi, TANESCO wanawawashia wanyama?



