Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu, wakati Magufuli anaingiza madarakani, vijiji vilivyokua vimeunganishwa na umeme vilikua ni vijiji 2000 tu, Kati ya vijiji vyote 12,0000, idadi hiyo ukijumlisha na asilimia ya umeme mijini, wastan ndio hiyo 33%.

Katika kipindi cha miaka 5 ya uongozi wa Magufuli, aliunganisha vijiji 7000 na mijini akafikisha zaidi ya 90%, ndio sababu hivi Sasa coverage nchi nzima ni 83%

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Prove hizo figure zako na reliable citation si kuropokwa ovyo.... Tanzania hata 40% hamjafika
 
Silver and bronze for kenya. Hii mbio ilkua moto sana
IMG_232523_16722.jpeg
 
Mkuu, wakati Magufuli anaingia madarakani, vijiji vilivyokua vimeunganishwa na umeme vilikua ni vijiji 2000 tu, Kati ya vijiji vyote 12,0000, idadi hiyo ukijumlisha na asilimia ya umeme mijini, wastan ndio hiyo 33%.

Katika kipindi cha miaka 5 ya uongozi wa Magufuli, aliunganisha vijiji 7000 na mijini akafikisha zaidi ya 90%, ndio sababu hivi Sasa coverage nchi nzima ni 83%

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Vijiii elfu 8 kaka.

Hata Samoa alilisema uili na kutamka hiyo figure 8,000 bungeni.
 
Euro imekuwa ikipoteza value dhidi ya US dollar. Sasa hivi 1 Euro = 1 US Dollar.
 
Sama boy 255 wewe ndio huwa unapenda kusifu real estate ya China kwamba China ina majengo mengi marefu. Kumbe yamejengwa kutumia madeni na sasa hali inaanza kuwa mbaya. Tunazungumzia deni la $9.2 trillion.
 
Back
Top Bottom