Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania hawajui kiswahili wala kizungu.
IMG_20220716_215918.png
 
Naombeni kueleweshwa hapa hasa kwenye kipengele cha umeme.

Tanzania tuna vijiji 12,000.Vijiji 10,000 tayari vina umeme, bado vijjji 2,000 tu.

Swali langu hawa wapiga takwimu wametumia vigezo gani kuweka asilimia 33% za kuunganishwa umeme wakati karibia tusambaze Tanzania nzima?

Hapo umeme unakuwa unaenda wapi, TANESCO wanawawashia wanyama?
Mkuu, wakati Magufuli anaingia madarakani, vijiji vilivyokua vimeunganishwa na umeme vilikua ni vijiji 2000 tu, Kati ya vijiji vyote 12,0000, idadi hiyo ukijumlisha na asilimia ya umeme mijini, wastan ndio hiyo 33%.

Katika kipindi cha miaka 5 ya uongozi wa Magufuli, aliunganisha vijiji 7000 na mijini akafikisha zaidi ya 90%, ndio sababu hivi Sasa coverage nchi nzima ni 83%

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nigeria iko siku itazunjika na sio mbali. Next year wana general election na ruling party (Apc) flag bearer ni muislamu na vice wake pia muislamu. Second biggest party (PDP) flag bearer muislamu. Foolani na Yorubas wameungana dhidi ya wakristo
IMG_20220716_220421.png
 
Wakunya ukitaka ukosane nao waambie wakuletee barabara mpya kama hizi

Sema hiyo mikunjo kwenye barabara zetu ni hatari sijui nini tatizo kwa mainjinia ?? Au ni ufisadi wa kurefusha urefu wa barabara ili wapige pesa ...maana mikunjo kama hiyo inasababisha ajali za barabarani kwa asilimia 70 pia inasababisha uchovu kwa dereva ,inasababisha vyuma vya gari kuchoka kwa kukata kata kona mara kwa mara na kuvunjika na kusababisha ajali...
 
Nigeria iko siku itazunjika na sio mbali. Next year wana general election na ruling party (Apc) flag bearer ni muislamu na vice wake pia muislamu. Second biggest party (PDP) flag bearer muislamu. Foolani na Yorubas wameungana dhidi ya wakristoView attachment 2293484
Sio rahisi. Ingawa ukifuatilia mitandaoni utaona kama nchi itavunjika kesho maana yake wayoruba wanapiga kelele huku waigbo nao wanataka Biafra yao. Wote wanalia kuwa Buhari (bokohari) anataka kutimiza ndoto ya Usman Dan Fodio kwa kuwapendelea wafulani wa kaskazini na kuiweka Nigeria chini ya himaya ya kiislamu. Nina hakika hizi kelele zitapita na Nigeria kuendelea kuwa nchi moja baada ya uchaguzi mwaka ujao, licha ya hisia za ukabila na udini kushika kasi.
 
Mkuu, wakati Magufuli anaingiza madarakani, vijiji vilivyokua vimeunganishwa na umeme vilikua ni vijiji 2000 tu, Kati ya vijiji vyote 12,0000, idadi hiyo ukijumlisha na asilimia ya umeme mijini, wastan ndio hiyo 33%.

Katika kipindi cha miaka 5 ya uongozi wa Magufuli, aliunganisha vijiji 7000 na mijini akafikisha zaidi ya 90%, ndio sababu hivi Sasa coverage nchi nzima ni 83%

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Shida ni takwimu, NBS huwa wanachelewa sn ku update taarifa, Tz mashirika ya umma yamelala lala sana sijui kwanini tunakuwa wazembe wazembe kwenye vitu serious namna hii.
 
Hali ni mbaya sana nigeria na kila siku ikipita ni miujiza kwa nini haijavunjika. Ukienda north bunge zao zimepitisha sharia law ndo manake wakamua yule msichana deborah bila uwoga. Kuna kitengo maalum cha polisi kinaitwa hisbah na kazi yao nikuhakikisha sheria za kiislamu zinafatwa.

Ukija south east kuna igbos ambao wanataka kujitenga. Kiongozi wao Nnamdi Kanu alikua extredicted from Kenya to Nigeria sahivi anasubiri hukumu.
Sikatai kuwa hali ni mbaya lakini hiyo nchi haitavunjika vipande vipande kirahisi kama unavyofikiri. Sio tu Nnamdi Kanu (Igbo) ambaye kwa sasa yuko mahabusu Abuja baada ya kukamatwa Nairobi; hata Sunday Igboho (Yoruba) naye kwa sasa yuko ukimbizini Benin Republic baada ya kukoswa kuuawa na watu wanaodhaniwa walitumwa na serikali.
 
Associate wangu ambae yuko ground anasema maziwa ya azam yamepotea baada ya GoT kuongeza tax kwa powder milk. Alafu wanasema wana ngombe kumbe ni maziwa ya unga😁😁
IMG_20220716_223257.jpg
 
Nimetazama women's 10,000 metres inayofanyika huko Oregon, USA. Kenya imeshinda silver and bronze medals. Ethiopia ndio wameshinda gold. Hio race imekuwa interesting. Hellen Obiri ni mnoma.
 
Back
Top Bottom