Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

TRA wanachuchukua chao kwenye kila Sticker ya aina hii.

IMG_0195.jpg
 
Hii inakaaje? 100 km/h? si tuliambiwa 120 km/h?
20220716_172225-jpg.2293231


CC: Tony254
Wamepigwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye maneno 100 ya mkunya usichukue hata moja, alafu ukweli walikuwa wanaujua lkn wote wakiwa wanaitetea wanasema 120, Wakenya ni wajinga sana. Mbn cc hatupo hivi?View attachment 2293297


Hakuna aliyewadanganya nyinyi watu wa Republic of Lazystan.
Ulisikia wapi kwamba cargo trains za Kenya zina maximum speed ya 120 km/h? Hii sio passenger train. Passenger train ndio inagonga 120 km/h.
 
Naombeni kueleweshwa hapa hasa kwenye kipengele cha umeme.

Tanzania tuna vijiji 12,000.Vijiji 10,000 tayari vina umeme, bado vijjji 2,000 tu.

Swali langu hawa wapiga takwimu wametumia vigezo gani kuweka asilimia 33% za kuunganishwa umeme wakati karibia tusambaze Tanzania nzima?

Hapo umeme unakuwa unaenda wapi, TANESCO wanawawashia wanyama?
Kwasababu mahali popote duniani uunganishwaji wa umeme unapimwa kwa idadi ya nyumba zilizounganishwa kwa umeme against idadi ya nyumba zote... Nyinyi tu ndo mnatumia vigezo vya vijiji
 
Hakuna aliyewadanganya nyinyi watu wa Republic of Lazystan.
Ulisikia wapi kwamba cargo trains za Kenya zina maximum speed ya 120 km/h? Hii sio passenger train. Passenger train ndio inagonga 120 km/h.
Ni kama hawa watz wanaogopa kufikiria most times. Wacha tungoje majibu zao kama there cargo/passenger locomotives will run same speed.
 
Ni kama hawa watz wanaogopa kufikiria most times. Wacha tungoje majibu zao kama there cargo/passenger locomotives will run same speed.
Hawajanijibu. Wamenyamaza when they realised they were being stupid.
 
Back
Top Bottom