Bora yapotee ili tulinde maziwa ya ndani kwasababu yeye ana import maziwa ya unga kutoka njeAssociate wangu ambae yuko ground anasema maziwa ya azam yamepotea baada ya GoT kuongeza tax kwa powder milk. Alafu wanasema wana ngombe kumbe ni maziwa ya unga😁😁View attachment 2293513
Yeah! Sure bro.Ndio sababu tunategemea kufikia "Universal access ifikapo mwisho wa mwaka huu
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sio issue la maintenance. Tatizo ni kwamba supply ni kidogo kushinda demand.Kutakuwa na maintenance
Hata ujitetee vipi, nchi ambayo ina 8 hour power cuts kila siku ni nchi la ujinga sana na sioni kwa nini wanaitwa the most developed ikiwa hata kuzalisha umeme kukidhi mahitaji yao kunawashinda. Unajua wanapoteza productivity ya aina gani wakati wa powercuts? Wanapoteza billions of dollars wakati wa powercuts.Nafikiri ungedili na matatizo ya nchini kwako kwanza ambapo bado ni basic needs kama chakula, maji, choo na hata nguo, Afrika Kusini inazalisha >49 000 MW of electricity vs Kenya <2 000MW , hizo ni Dunia mbili tofauti, AK ni level nyingine kabisa, Johannesburg Stock Exchange peke yake ni one of the largest in the World (namba 16 Duniani), AK inashinda nchi nyingi tu za Ulaya kiuchumi.
Na hiyo 49 000 MW ya umeme bado haiwatoshi kukidhi mahitaji yao ya kiuchumi, hapa kwetu kujenga tu MW 2000 za umeme bado kuna watu wanatupiga vita eti kutunza miti, na ni watu wakubwa wenye maamuzi Serikalini, leo hii Nyerere dam inahujumiwa siajabu kwa makusudi kabisa, …
Yaani nilikuwa namuuliza Tony ikiwa umeme unakwenda vijijini tu pasipo kuunganishia watu lengo Lao ni lipi?Sasa mkuu ushauri wako ni upi?. Serikali imeshusha Bei ya kulinganisha umeme vijijini hadi TSH 27,000 ili kuwezesha wananchi wengi kuingiza umeme majumbani mwao. Kama mtu Hana uwezo wa kulipia hata hiyo pesa, ni wazi kwamba hawezi kulipia bili za kila mwezi kwa hiyo hata TANESCO wakiunganisha Bure, hawawezi kupata faida.
Mkuu, unalosema kwa TANESCO unapaswa pia ulise kwa wizara ya maji, walishafikisha maji mitaani, pia waingize majumbani ili watu watumie maji kwa wingi wapate faida.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ni sawa lakini me ninakataa kwamba tuko asilimia 33.Katika kijiji kuna vitongoji,unaweza kuta kijiji chenye umeme 3/4 ya vitongoji vyake hawajaunganishwa ,Ndio mana wizara inaenda kwa awamu
Wacha upuuzi mzee. Nani amekuambia kwamba tuna locomotive aina moja? Tuna locomotives aina tofauti tofauti. Sijui unapingana na mimi kwa nini? Tazama hii video. Hio ya pili ndio passenger locomotive. Hizo zingine tatu ni cargo locomotive.Train yenu ya abiria inavutwa na locomotive hamna EMU na hata train yenu ya mizigo inatumia locomotive sasa nataka unithibitishie kuwa hiyo sio passenger train bali ni ya mizigo ujibu swali uache kurukaruka hapa max speed 100kph.
Hata ujitetee vipi, nchi ambayo ina 8 hour power cuts kila siku ni nchi la ujinga sana na sioni kwa nini wanaitwa the most developed ikiwa hata kuzalisha umeme kukidhi mahitaji yao kunawashinda. Unajua wanapoteza productivity ya aina gani wakati wa powercuts? Wanapoteza billions of dollars wakati wa powercuts.
White elephant manake dar slum ndo financial hub ya tanzania so asilimia kubwa ya mizigo ina shukiswa dar. Huwezi elewa kwa IQ yakoWalikua wanauliza SGR itafika vp bandarini 😂😂😂
View attachment 2294162View attachment 2294163View attachment 2294164
I don't care whether South Africa produces a lot of power or not. Nchi yoyote yenye 8 hour power cuts per day is a failed state. Period. Sitaki hadithi mingi za Abunuasi, sijui eti wanaproduce a lot of power. 8 hour power cuts inaonyesha ni jinsi gani hio nchi sio developed na ni failed state. Ujinga kama huu wa 8 hour black out huwezi kuusikia ndani ya developed countries kama za Europe au Northern America.Indeed SA is the most developed Nation in Africa,
The difference between Kunya and South Africa considering power outages is that South Africa consumes more power than it generates,
South Africa produces over 50,000 MW na bado hautoshi, Kenya produces only 2,000 MW (see the difference?)
Reason : Massive Industries in SA consume a lot power, plus huge mines kule Witwatersrand.
Viwango gani unazungumzia wewe? Mimi naona mabati tuu ambazo zinaweza kuraruliwa kwa mikono tu.Sijui kama kuna SGR yenye viwango hvi africa nzima sina hakika kabisa 😂😂View attachment 2294171View attachment 2294172View attachment 2294173View attachment 2294174View attachment 2294175View attachment 2294176View attachment 2294177View attachment 2294178View attachment 2294179View attachment 2294180View attachment 2294181
Keshakubali Azam ni matapeli😁😁😁Bora yapotee ili tulinde maziwa ya ndani kwasababu yeye ana import maziwa ya unga kutoka nje
Una ufinyu wa mawazo ukikua utaachaKeshakubali Azam ni matapeli😁😁😁
Malazy ambao hawajui busaa ni nini, ndio hii hapa.Sisi hatujui Gikuyu language, tuambie maana yake
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app