Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20220716_172225.jpg

 
Huitaji akili kugundua hizi data zimepikwa kutoka nchi gani.

Naombeni kueleweshwa hapa hasa kwenye kipengele cha umeme.

Tanzania tuna vijiji 12,000.Vijiji 10,000 tayari vina umeme, bado vijjji 2,000 tu.

Swali langu hawa wapiga takwimu wametumia vigezo gani kuweka asilimia 33% za kuunganishwa umeme wakati karibia tusambaze Tanzania nzima?

Hapo umeme unakuwa unaenda wapi, TANESCO wanawawashia wanyama?
 
Kwanza angalia Railnetwork ya KENYA na RWANDA 3383 km yaani hata kama nikweli du hizo kms za rwanda nchi nzima ni rail ila wakenya sio watu wa kuamini hata siku moja kwa kila kitu wao ni kupika data kila siku
Naombeni kueleweshwa hapa hasa kwenye kipengele cha umeme.

Tanzania tuna vijiji 12,000.Vijiji 10,000 tayari vina umeme, bado vijjji 2,000 tu.

Swali langu hawa wapiga takwimu wametumia vigezo gani kuweka asilimia 33% za kuunganishwa umeme wakati karibia tusambaze Tanzania nzima?

Hapo umeme unakuwa unaenda wapi, TANESCO wanawawashia wanyama?
 
Back
Top Bottom