Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
DAILY DOSAGE (1×7)
Acha upumbavu hapa lower middle wako pipeline na korogochoWacha vitisho, nimekuambia nakunyorosha na South C kwa lower middle class.
![]()
Nani kakudanganya kuwa wataoajiriwa ni wakenya tuu unaijua vizuri recruitment system ya WHO.Nimeshakueleza mara nyingi kwamba watu wengi ambao wanaandikwa kazi na hizi international companies ni Wakenya. Hii WHO ambayo inakuja Kenya ni UN organisation na itaajiri watu 150 na kati ya hao lazima kuwe na wapishi, drivers, secretaries na kadhalika na wengi wao watakuwa ni Wakenya. Kwenye speech ya rais Uhuru jana kwenye hafla hii alisema kwamba WHO itaajiri watu 150 mwanzoni kisha itaongeza idadi ya wafanyikazi kadri mahitaji yatakavyoongezeka.
Wewe ni tahira hujui Dar hata kidogo.Temeke, Kigamboni, Ubungo and Ilala zote zipo Kinondoni na zote ni uswazi.
"Tunajenga na hela za ndani" 😂😂😂Magufuli ali lie nn?
Hakujenga electrifitried SGR?
hakujenga BRT?
Hakujenga bus terminals nchi nzima?
Hakujenga masoko ya kisasa nchi nzima?
Hakujenga meli kubwa na za kisasa kuliko zote East and Central Africa?
Hakujenga JNHPP?
Hakujenga ports?
Hakujenga Ikulu ambayo nyie mpk leo rais wenu anakaa kwenye choo cha mkoloni?
Hakuijenga Dodoma inayowapea stress kila kukicha?
Hakusambaza umeme kila kijiji kwa bei rahisi?
Hakupeleka maji sehemu ambazo zilikuwa na shida ya maji hususan vijijini?
Hakujenga cable stayed bridges?
Hakujenga biggest airport in East and Central Africa?
Hakujenga hospitali za kisasa nchi nzima?
Hakujenga flyovers?
Hakujenga interchange?
Hakujenga barabara za kiwango nchi nzima?
Hakujenga madaraja nchi nzima?
Hakununua ndege za kisasa na kubwa?
Hakukarabati mgr? Magufuli aliongopa nn?
Magufuli na Uhuru nani muongo?
Uhuru aliwaahidi atajenga electrifitried SGR, alijenga?
Uhuru aliahidi laptop kwa kila mwanafunzi alitoa?
Uhuru aliahidi kumaliza njaa Kenya imeisha?
Uhuru aliahidi kupunguza tatizo la ajira, je alipunguza?
Uhuru aliahidi kuondoa ma slums Kenya je kayaondoa?
Tell me, Magufuli na Uhuru nani muongo![]()
Achana na huyo. Availability of skilled labour is one of the reasons why these organisations are trooping to Kenya sasa yeye Anasema niniNimeshakueleza mara nyingi kwamba watu wengi ambao wanaandikwa kazi na hizi international companies ni Wakenya. Hii WHO ambayo inakuja Kenya ni UN organisation na itaajiri watu 150 na kati ya hao lazima kuwe na wapishi, drivers, secretaries na kadhalika na wengi wao watakuwa ni Wakenya. Kwenye speech ya rais Uhuru jana kwenye hafla hii alisema kwamba WHO itaajiri watu 150 mwanzoni kisha itaongeza idadi ya wafanyikazi kadri mahitaji yatakavyoongezeka.
Electric SGR from MSA-NBO-KSM"Tunajenga na hela za ndani" 😂😂😂
Hebu nionyeshe mahali Uhuru alisema atajenga electric sgr
Nionyeshe mahali alisema atamaliza slums Kenya. (Na mbona Magu hakumaliza uswazi zinazokaba jiji lenu koo?)
Where did he promise to end hunger in Kenya?
Wacha kuweweseka bongolala.
Na Rwanda bado ni ldc kisa watu kama huyu
Wacha uongo. Hakuna sehemu Dar ina umbali huo kutoka cbd. Be factual kijana
Starehe ya choo mtoe wapi wakati mnakunya kwenye mifuko.Nairobi huwezipata hiyo ufala ya watu kushare choo na bafu unless uko kwa slum na hata siyo slums zote ziko hivyo. Jiji lenu la Dar liko nyuma sana
Ubaya wenu ni kwamba hamkubaliani na data kama hizi. Ubishi za kijinga sana. Sasa toa povu basi
Embu taja sababu zilizopelekea mpaka ukafikia hiyo conclusion.Kwakweli tunahitaji kiongozi mwenye maono makubwa kwa ajili ya taifa la Tanzania. Kwa sasa kuna ombwe la uongozi
waliambiwa "Rafuzi nyenu si ya ki tanzania..."
ni rafuzi ama lafudhi...
pia mi nakumbuka neno 'lafudhi' pale high-school katika somo la kiswahili riwaya..
Kwani kuna siku mewahikubaliana na data yoyote hapa ndani? Si mnazipinga kila siku?Dude that is a stale data alot of big investments zimefanywa kwenye electrification in Tz for the past 3 years.
Access to electricity in Tz for rural areas is >85% and for urban centres ni 95% kama hutaki kalilie chooni hatutishiki na vidata vya mchongo.
Ndio kijana wa TandaleHiyo picha umepiga ukiwa juu ya roof yako nini?
tanzania itabaki kua tanzania, kenya itabaki kua kenya.. kila mtu abambane na hali yake mchizi wangu.......Kwanini wakenya mkiambiwa hamuongei kama Watanzania mnakasirika?
Kuna mtanzania aliigiza accent ya kikenya ikafika twitter eti wakenya wakawa wanashangaa kumbe kuna accent ya kitanzania na ya kikenya 😂😂😂
Sasa ninyi mlifikiri mnaongea kama sisi? Na hicho ndio kitu hao Dada zenu kimewauma, mnapigana muonekane kama Watanzania lakini situation inawakataa