Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watu wasiofika ht 2% wanakula nusu ya mapato ya serikali...hii sio sawa.
Tunaserikali yenye wafanyakazi wengi wasio kazi za kufanya na wengine wanaproduce less than 20%.
Infact nna washkaji zangu wapo serikalini now wame abandon post zao ili wafanye mambo yao, wengine wapo Moro na Singida wanalima, wengine wapo Dar wana fanya mishe zao and still wanapata salary km kawaida. Ukiwauliza wanakwambia Mzee alibana sana wacha wapumue. na bado wanalilia mishahara ipande.
Hawa ni moja wapo ya kundi la wafanyakazi hewa.
 
Wewe akili zako zimekojolewa na mbwa ...watumishi walipwe vizuri wakati awafanyi kazi yoyote zaidi ya upumbavu. Mishahara ya wafanyakazi wa serikali ni lazima iwe asilimia 25% tu ya makusanyo ya mwezi ...ili nchi iweze kupata maendeleo ya kweli kwa haraka.
Naunga mkono hili, tena liwekwe kwenye katiba kwamba wataongezewa mishahara pale uzalishaji unapoongezeka
 


FUwRqgAX0AEOFZ1.png
 
Mkuu, Tunapo zungumzia m0 m1, m2,m3,m4 depend on specified country , kwenye money supply hizi hutumika kuelezea money liquidity na si vinginevyo mfano M1(narrow) is more liquid than M2 na M3(broad),
M1=CU(notes,coins)+DD(net deposity held by commercial banks)
M2=M1+ s(savings)
Nb; neno M0,M1(narrow) halikumanisha ufinyu wa pesa kwenye mzunguko bali urahisi wa kuitumia pesa
Neno M2,M3(broad)halikumanisha uwingi wa pesa kwenye mzunguko bali ni ugumu wa kuweza kutumia pesa husika sababu mara nyingi zinakuwa kwenye mfumo usio raisi kuzitumia au kuzipata
Mkuu kwa mada hii sidhani kama ulipaswa kuhusisha na liquidity of money wakati ulikuwa u aongelea shortage of money.
Ongezeko la mishahara linasaidia kuongeza money supply kwenye economy hivyo Tz kwa miaka mitano iliyopita money supply was below recommended margins. Aliyesoma uchumi atajua maana ya broad and narrow money supply M1 M2 and even M3
Mkuu tafadhali kapitie quantity theory of money, tuje tubonge kidgo
 
Mishahara haijaongezwa kwa miaka zaidi ya 5 huku inflation ikiongezeka kila mwaka pia gharama za maisha zikiendelea kupanda kila mwaka. Wakati JPM anachukua nchi mafuta yalikuwa sh 1300 kwa lita leo ni sh 3300 bado unataka mishahara ibakie hapo hapo tuu. Suala la kuongeza Mishahara si suala la mapenzi ya mtu ni takwa la kusheria pia husaidia kuchochea ukuaji wa uchumi meaning people will be able to afford vitu vinavyozalishwa viwandani hivyo kusaidia kuongeza production ambayo itapelekea kuongezeka kwa ajira zaidi na kiasi cha makusanyi ya kodi kuongezeka pia.
Mnyonge mnyongeni aki yake mpeni mkuu unajua awamu iliyo pita inflation ilikuw stead sana pamoja na badhi ya piza kupanda kwa kipindi flani lakini over all inflation ilikuw vyema,mfano kwa miaka 5 nauli za usafiri hazikubadilika kabisa
 
We endela kufanya wishful thinking. SGR ya Tanzania haifiki bandarini kama ya Kenya View attachment 2254667
Kwani Kenya Kuna SGR?, tunaomba muache kushusha hadhi ya neno "SGR" tafadhali Sana, pamoja na "technical specifications", SGR inabema maana zaidi ya hiyo.

SGR lazima iwe na sifa zifuatazo;
1)Speed
2)Modernity
3) Beautiful
4)Electricity
5)Continuous welded


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Unaelewa maana ya mtumishi wa serikali au napoteza wakat tu hapa?kuna sheria za kazi na taratibu za muajiri wewe unaleta hard feelings naona
Nimefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 15, sidhani Kama unanizidi kuzielewa hizo Sheria na taratibu za ajira serikalini, nadhani unachonizidi ni ubinafsi na kulalamika tu.

Ni haki kwa wafanyakazi kote duniani kulalamika maslahi zaidi, ndio sababu ya kuanzishwa Sheria ya kuanzishwa vyama vya wafanyakazi duniani, lakini ni haki ya muajiri kuwalipa wafanyakazi kutokana na kile kinachozalishwa Kama kinamuwezesha kuongeza mishahara zaidi, hakuna Sheria yoyote inayosema ni lazima kwa muajiri kuongeza mishahara, ndio sababu ni hiari kwa mtu kuajiriwa, ukiona maslahi ni madogo hulazimishwi kuendelea kufanya kazi, na wewe hupaswi kulazimisha kuongezewa mishahara, ni hiari yake.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
siyo Sabaya tu, kuna mtangulizi wake pia DC wa Hai Bwn Gelacius Byakanwa!


Mzee maoni yangu si lazma uyajibu ki-shallow jibu kwa points! Jamaa yako alikuwa mkabila aliyepitiliza na roho ya ajabu utafikiri alipewa guarantee ya kuishi milele! Huu

Inanishangaza kutojali maovu waliyotendewa wengine. Hawakuwa Watanzania nn? Azory Gwanda wa Mwananchi aliyepotezwa mwili wake upo wapi?

BTW nafurahi kunibatiza Umachame! Sioni ubaya maana ni Watanzania pia! Mama yupo Biharamulo kusimikwa uchifu! Washam-denounce JPM na sera zake za Usukumagang!

Kwani Azory Gwanda alitokea kaskazini?, Nilikuambia kwamba Magufuli alikua ni mtu katili, kiburi na alikua anakandamiza uhuru wa kisiasa, lakini hakuwa akilenga jamii Fulani, vitendo vyake vya kikatili walifanyiwa watu wote bila kujali kabila Wala jamii Fulani, kwanini umewekeza nguvu nyingi huko Kaskazini?.

Hili shamba la Mbowe, sababu za kuharibiwa zimeelezwa wazi kwamba alilima katika chanzo cha maji, jambo ambalo limekatazwa na Katiba ya nchi, alipewa miezi 4 kusitisha kilimo lakini hakutii Sheria za Nchi, yeye ni nani asichukuliwe hatua?, Mbona huzungumzii kitendo cha Mo Dewji kunyang'anywa mashamba ya Mkonge kule Tanga baada ya kushindwa kuyaendeleza, mbona huzungumzii kunyang'anywa mashamba ya Sumaye kule Morogoro, au kuchukuliwa kwa viwanda toka kwa matajiri walioshindwa kuviendeleza nchi nzima, wewe umekazania Kilimanjaro"specifically Mbowe?"

Mdude kutoka mkoa wa Mbeya, wanunuzi wa korosho huko Mtwara na Lindi, wote waliathirika kwa namna Moja au nyingine, Rugemarila na Seith, wote walikutana na Joto la utawala wa Magufuli, Nape Moses Mnauye alitolewa bastola hadharani, Kinana na Makamba walitukanwa hadharani na Musiba bila hatua zozote kuchukuliwa, kwanini usiwatetee hao wote badala yake unashikilia watu wa Kaskazini?, mkuu wewe una chembechembe za ukabila sio bure.

Mkuu, kusimikwa kwa Samia kuwa chief Mimi inanihusu nini, tunazungumzia Magufuli hapa, Samia ameingiaje, kwanini unataka kujishusha kiasi hicho?," I thought you are much better than this".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Shuttle kwetu ama SA, inamaana kua kidude kinabeba tu mtu kumi. hivi hakuna kufinywa

View attachment 2254605View attachment 2254606View attachment 2254607View attachment 2254608
Uchafu uchafu uchafu hata hiyo uliyo post ni kipanya ila siyo ile uliyo panda ni chafu zaidi nionyeshe hizi rangi kwenye hizo gari na hizo finger print za vidole za ma

Wakunya mnakunya maporini kisha najipangusia mikono kwenye gari
Tukiwaambia tz tupo vizuri kwenye sekta ya mabasi mara 100 kuwaliko mnaanza nyenyenyenyeeeeee
JamiiForums-1800991946.jpg
 
sio luxury hasa.. ata nimekosea, shuttle ndo jina sahihi maana starehe za luxury hupatikana kwenye mabasi
wakunya bwana jina zuri sijui SHUTTLE kumbe ndiyo umepanda kipanya chenyewe kwa jina la tanzania nikama miji yao utasikia majina makubwa sijui the berrgam, sijui kingwashington ,sijui bangladesh , sijui upper hillton kumbeee ni maslum ya kufa mtu...... Tony254 njoo uone shuttle huku mimi nilijua ni bonge la buses kumbe ndiyo " VIPANYA"
 
nilitaka kushangaa yani probox isionekane ingekua maajabu sana
Kakuingiza chaka hata hiyo pro box siyo aliyosafiria, kasafiri na kipanya kichafu chenye kutu hiki hapa ...kama mnabisha nionyesheni hiyo point na rangi ya pati kwenye hiyo gari
JamiiForums-1800991946.jpg
 
Kabla ya kujua kuwa kenya nzima watu wanaishi kwa slum na kabla ya kujua kuwa kuna slum inaitwa kibera nilikuwa nasikia watu wanasema hapa tanzania haya maneno sikujua yametokana na kenya na ubovu wa maisha ya slamu maneno yenyewe utamsikia mtu anasema ,..nayapeleka maisha "kibera kibera mwanangu " hali si hali ....kumbe ndiyo nikaja kujua kibera ni slum hatari kama jehanam huko kenya
 
Mkuu, kwa faida ya huu Uzi, tunashauri kuacha kujibu posts za huyu jamaa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa niliwaambia mniachie mm....kama nyinyi mnavyo mkimbia ndivyo yeye anavyo nikimbia mm hua nikimjibu tu anazima data na kupotea jf masaa 5 ndiyo anakuja tena wewe chunguza utagundua hilo kama sasa nilipo mjibu utagundua kakimbia utamuona tena hapa hadi baadae au kesho
 
Kwani Kenya Kuna SGR?, tunaomba muache kushusha hadhi ya neno "SGR" tafadhali Sana, pamoja na "technical specifications", SGR inabema maana zaidi ya hiyo.

SGR lazima iwe na sifa zifuatazo;
1)Speed
2)Modernity
3) Beautiful
4)Electricity
5)Continuous welded


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Endelea kujiliwaza kwa uongo
 
Mbona unashindwa kuelewa? SGR itatumia njia ya MGR kuingia bandarini na MGR imetafutiwa access nyingine ya kuingia bandarini near Kamata station ambapo compensation imeshafanyika na eneo kuwa cleared for ujenzi

Maana ni kwamba kumekuwa na swap ya access route to the port between SGR and MGR.
So itabidi mtabomoa bomoa kila kitu in the name of sgr kufika port? Mgr imebana space zote reli inaeza pitia.
Sababu mimi bado sioni space ya kujenga marshalling yard kando ya port kwa hii mabishano yako yote.
 
Back
Top Bottom