Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe kwa akili yako hukumsikia mkuu wa nchi akisema hela ya escrow sio mali ya serikali au unajitoa ufahamu tuu. Mbona huyo mkuu wa malaika hakuthubitu kwenda kuchimba mzizi wa yote haya. Na bado jambazi mwingine akaja ikulu mchana kweupe kupiga deal la kumuachia mdogo wake ambae ni muua tembo mbona hukumlalamikia mkuu wa malaika? Saa nyingine mtumie busara tuu kuliko kuhara mambo msioyajua.
Unajua hizo hela kwanini serikali inalipa ? Hata kama a,ikuwa za serikali ila zilikuwa mikononi mwa serikali
 
Shida ya nyie wakenya mna Tabia ya kujifanya mnaijua TZ lakin niwaambie tu ukweli hamujui chochote kuhusu TZ DAR Port Iko na eneo kubwa tu la kujenga hiyo marshalling .. 👇View attachment 2254474View attachment 2254475na hapa jamaa wanafanya design and build, kwahyo tegemea kuona marshalling Yard DAR PORT
Design ya SGR Tanzania Marshalling yard ipo Ruvu ikisaidiwa na Kwala ICD, ndani ya Dar Port kutakuwa na lines za SGR kuunga treni fupi na ku-evacuate cargo to Ruvu!
 
Magufuli aliipendelea Chato tuseme tu ukweli. Alijenga airport kubwa, hospitali kubwa, national park ambayo amehamisha wanyama kutoka maeneo mengine na kuwaleta Chato. Sasa bado watu wanapinga kwamba Magufuli aliipendelea Chato? Mbona lipo wazi kwamba aliipendelea Chato? Mimi siishi huko lakini hata mimi naona ndani ya miaka mitano ya uongozi wake alipeleka miradi mingi huko Chato. Lakini yote tisa, kumi ni kwamba Magufuli amejenga miundo mbinu Tanzania nzima na ameibadilisha sura ya Tanzania. Kwenye kujenga miundo mbinu hana mshindani. Bado nakubali alifanya makubwa kwenye ujenzi wa miundombinu huko TZ.
Umesahau Bus Terminal, soko la Kisasa na on paper deceivingly Tshs 11 bln 3 star (but actually a 5 star hotel) Burigi Chato lodge by TANAPA funds! Kumbuka nearly completion 16 floor 5 star Hotel ya NSSF Mwanza iliachwa kuoza kwa 5 years!



Unfortunately the construction ya Burigi Chato lodge imekwama! Ironically all this hullabaloo projects occured while Geita town (constitutionally recognized regional headquarters) was left hanging unattended!

Sasahivi kuna mgogoro wanazengo wa Biharamulo wamechachamaa wanaigomea Burigi Chato NP yenye access gate made deliberately at Chato 82 km from Biharamulo Town 16 km to 2/3 of the park size!

Kumbuka mara ya Kwanza alipogombea Ubunge aligombea jimbo la Chato ila alipoona ushindani Mkubwa akaenda ku-lobby jimbo la Chato limegwe toka Biharamulo.

Hii ilifanyika kulinda Ubunge wake ila alipokuwa Rais akaanza siasa chafu za kuiondoa Chato Geita Region na kuimega Biharamulo na part of Kigoma kuanzisha mkoa wa Chato!

Hapa anapingwa live na former UNEP, UN Habitat n UNO chief! Nikisema alikuwa controversial I mean it.



Jamaa alikuwa anawalizimisha Burundi kuunganisha SGR na Isaka ICD Shinyanga ambayo ni mbali kwao na wana interest na Uvinza Kigoma kulipo na Katosho ICD hata saahii wana-invest cement factory huko!



 
20220608_172118.png
20220601_171354.png
20220429_161616.png

DAR ES SALAAM
 
Nimetoka jukwaa la siasa na nimegundua magufuli hapendwi kama wanavyo tudanganya hapa
 
Lini KQ ime break even. Si bora sisi tunatamba na ndege zetu wenyewe, nyie shirika lenu mpk li break even itawachukua miaka 1000 mana ndege za watu chapa ya Kenya
Wewe ukona wazimu Kq broke even eons ago, kq has been making serious profits which atcl has never dreamnt of
 
Back
Top Bottom