Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo ameskia hilo neno Jana sasa anataka alitumie aonekane msomi baada ya kuitwa soja. Hajui kq ili break even so many decades ago.
I blame Naikuni for Kqs downfall with project mawingu, otherwise we would be very far.He thinks KQ is about aircrafts only
 
Hii ndio luxury yenu? 😅😅😅😅😅
Shuttle kwetu ama SA, inamaana kua kidude kinabeba tu mtu kumi. hivi hakuna kufinywa

FB_IMG_1654706949258.jpg
FB_IMG_1654706957418.jpg
FB_IMG_1654706965248.jpg
FB_IMG_1654706975289.jpg
 
Hyo flight number ndiyo route ya ndege mkuu, kwa mfano TC inaenda mara mbili ka Nairobi, ikienda saa 11 alfajiri inakuwa na flight number ya TC 200, ikirudi Dar saa 3 asb inakuwa TC 201, ikiondoka jioni inakuwa TC 202 ikirudi ucku inakuwa TC 203. Kesho tena miruko inajirudia ila wakiongeza mruko mwengine flight number pia inaongezeka kutoka hizo nilizokutajia.
Yes flight number moja inaweza ikatumiwa na equipment zenye usajili tofauti kwa mfano dreamliner moja ya atc inayoenda mumbai kila mara kama haitakuwepo nafasi yake inaweza kujazwa na dreamliner nyingine lakini flight number inabakia hivyo hivyo. Hata kama ulitumia ndege ya kukodi ambayo haina livery ya shirika bado flight number itabakia hiyo hiyo kwa flight ya mda huo.
 
Hakuna hata space ya kujenga any tangible infrastructure ya kuunganisha port na SGR. Kumebana kila mahali majumba. Dar port imejaa. View attachment 2254378
Bora umeweka hii picha nikuoneshe branch ya kuingia bandarini ambayo inachepuka kabla ya kufika kwenye passenger terminal ambayo iko CBD.
Hapo juu ya mshale ndio reli inayoingia bandarini ikichepuka kutoka kwe sgr mainline ambayo wewe umeweka mstari wa yellow.
Screenshot_20220608-210327.jpg
 
Utetezi wa kesi dhidi ya hizi dhulma unaoendelea Sabaya anasema ilikua maagizo toka kwa JPM ili wafanyabiashara wa Moshi na Arusha waishi kama mashetani!

Kumbuka hii clip ipo online toka Malaika akiwa hai na Sabaya hakuguswa!

Huyo Panone anaemtaja ni mmiliki wa petrol station kadhaa Tanzania ambazo ni petrol stations plus motels plus mini markets combined!

Naye anakiri kuwa muathirika wa dhulma na akamshauri atoe tu ampe Sabaya!

Mind u hawa wote wafanyabiashara wa Moshi na Arusha! What a coincidence..
Mkuu, ninarudia tena na tena, humtendei haki Magufuli, sijui alikukosea kitu gani, Hilo kosa lilifanywa na mkuu wa wilaya mmoja tu, Kati ya zaidi ya wakuu wa wilaya 14 wanaopatikana katika hiyo mikoa ya kaskazini, Kwanini Kama kulikua na kampeni chafu ya kuadhibu watu toka Kaskazini wakuu wengine wasifanye Hilo?, Sabaya anajulikana kwa tabia zake mbovu hata kabla ya kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya, mkuu Kuna kila dalili kwamba wewe umetokea mikoa hiyo, na ninaanza kuamini kwamba mkuu una chembechembe za ukabila.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
sasa haka ka viaduct kata pitisha tani ngapi ya mzigo? Na kanaelekea wapi na bandari imejaa. Nionyeshe mahali marshaling yard ya dar SGR port iko.
Ona mfano Mombasa port na mgr infrastructure take iko kando, hii ni SGR pekee. View attachment 2254435
Hatuhitaji Marshalling yard bandarini mazingira yetu na nyinyi hayafanani na usitake tufanane maana mzigo yote ya Uganda, Burundi, Rwanda, Zambia Malawi, Congo yote lazima ipite kwala marshalling yard na block trains zitapangiwa hapo for onward movement.

Kila container la transil kwenye hizo nchi na la upcountry Tz litabebwa mpaka Kwala. Bandarini yatabaki makontena ya Dar tuu na hapo port itakuwa almost empty na efficiency itaongezeka maradufu.
 
Hakuna hata space ya kujenga any tangible infrastructure ya kuunganisha port na SGR. Kumebana kila mahali majumba. Dar port imejaa. View attachment 2254378
ww ni mpuuzi kweli kwa taarifa yako SGR cargo train inaanzia bandarini na kwa taarifa fupi baadhi ya maeneo hasa kutokea bandarini SGR inapita chini alaf bara bara zinapita juu 😂😂 ukiwa huelew uliza upewe majibu sahihi
 
ww ni mpuuzi kweli kwa taarifa yako SGR cargo train inaanzia bandarini na kwa taarifa fupi baadhi ya maeneo hasa kutokea bandarini SGR inapita chini alaf bara bara zinapita juu ukiwa huelew uliza upewe majibu sahihi
We endela kufanya wishful thinking. SGR ya Tanzania haifiki bandarini kama ya Kenya
JamiiForums-264036466.jpg
 
Back
Top Bottom