Unaelewa maana ya mtumishi wa serikali au napoteza wakat tu hapa?kuna sheria za kazi na taratibu za muajiri wewe unaleta hard feelings naonaKwani hizo bei zimeongezwa kwa wafanyakazi pekee, wakulima, wavuvi na wafugaji wanasaidiwaje ili kupambana na kuongezeka kwa hizo bei?, au wafanyakazi ndio muhimu kuliko hao wengine?, Punguzs ubinafsi mkuu.
Serikali lazima iwajali wananchi wote bila ubaguzi, waliosoma na wasiosoma, walio na ajira na wasiokua na ajira.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mbona unashindwa kuelewa? SGR itatumia njia ya MGR kuingia bandarini na MGR imetafutiwa access nyingine ya kuingia bandarini near Kamata station ambapo compensation imeshafanyika na eneo kuwa cleared for ujenziWacha uongo bana. Huo mchepuko ni wa existing mgr rail. Not unless mnabomoa mgr mujenge SGR. View attachment 2254673
Moshi Kilimanjaro
Hiyo imebeba miraa inawaisha airporthuku pia probox zo hujulikana sana kwa biashara za kiharamu za kimagendo, hasa toka uganda ama sirari. ndo utakuta dirisha zao mingi huwa tinted very dark, kama hio unayoiona hapo.
nb: probox is famous for all the wrong reasons humu.!
Dah Kenyanseti enhhh na hawa pia ni biashara haramu hvi ww unaniona mm boya sana
View attachment 2254681View attachment 2254683View attachment 2254684View attachment 2254685



Gari ndogo ukiwa speed huwa ina rev sana na metal structure yake ina vibrate sana kuliko gari kubwa. Hivi vyote huleta discomfort during travel.wacha basi nikupe uhondo.. shuttle ina starehe ilioje..! ata waulize mandugu zenu wa thati wa afrika kusini
View attachment 2254716View attachment 2254704View attachment 2254705View attachment 2254706View attachment 2254707
i also did physics, with everything to do with centre-of-gravity and so on.. yes.... but hivi unataka kumaanisha kuwa watu wote wenye private cars ikiwemo mercedes na bmw hawana starehe wakiwa kwenye msafara ndefu.? 🤔🤔Gari ndogo ukiwa speed huwa ina rev sana na metal structure yake ina vibrate sana kuliko gari kubwa. Hivi vyote huleta discomfort during travel.
🤣🤣🤣🤣 Eti metal structure. Wewe tuliza kuropokwa, huwezi ongelea comfort ya gari na ukose kutaja suspension components. Wewe I doubt kama unajua kuhusu magari.Gari ndogo ukiwa speed huwa ina rev sana na metal structure yake ina vibrate sana kuliko gari kubwa. Hivi vyote huleta discomfort during travel.
At least Uganda ndio wanaweza ku claims ownership ya Jina boda boda.. Sio kunyaland.After wakenya waweke boda boda kwa dictionary, hawa wazungu hawachelewi. 😀😀
Boda boda ni sheng, coined from the word border, waganda walianza kuongea kiswahili lini?At least Uganda ndio wanaweza ku claims ownership ya Jina boda boda.. Sio kunyaland.
Kunyaland zao baskeli bhana.
Mimi naona tu Mashashola na coodip1 mkitumia neno mchepuko. Mimi sijui mchepuko ni nini pengine mnielezee.Mbona unashindwa kuelewa? SGR itatumia njia ya MGR kuingia bandarini na MGR imetafutiwa access nyingine ya kuingia bandarini near Kamata station ambapo compensation imeshafanyika na eneo kuwa cleared for ujenzi
Maana ni kwamba kumekuwa na swap ya access route to the port between SGR and MGR.
siyo Sabaya tu, kuna mtangulizi wake pia DC wa Hai Bwn Gelacius Byakanwa!Mkuu, ninarudia tena na tena, humtendei haki Magufuli, sijui alikukosea kitu gani, Hilo kosa lilifanywa na mkuu wa wilaya mmoja tu, Kati ya zaidi ya wakuu wa wilaya 14 wanaopatikana katika hiyo mikoa ya kaskazini, Kwanini Kama kulikua na kampeni chafu ya kuadhibu watu toka Kaskazini wakuu wengine wasifanye Hilo?, Sabaya anajulikana kwa tabia zake mbovu hata kabla ya kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya, mkuu Kuna kila dalili kwamba wewe umetokea mikoa hiyo, na ninaanza kuamini kwamba mkuu una chembechembe za ukabila.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app