Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeona hio diversion inayokwenda bandarini ila barabara ya reli hapo mbele imezibwa na majumba. Majumba haya yatabomolewa lini? Maana hapo kwa port hakuna nafasi ya reli kupita itabidi majumba kadhaa yabomolewe.
SGR itatumia njia ya MGR kuingia bandarini na MGR imetafutiwa njia nyingine ya kuingia bandarini ambayo inachepuka baada ya kamata chini ya ile viaduct pale Gold Star.
 
Grevy's Zebra

Grevy%27s_Zebra_Stallion.jpg
 
Hatuhitaji Marshalling yard bandarini mazingira yetu na nyinyi hayafanani na usitake tufanane maana mzigo yote ya Uganda, Burundi, Rwanda, Zambia Malawi, Congo yote lazima ipite kwala marshalling yard na block trains zitapangiwa hapo for onward movement.

Kila container la transil kwenye hizo nchi na la upcountry Tz litabebwa mpaka Kwala. Bandarini yatabaki makontena ya Dar tuu na hapo port itakuwa almost empty na efficiency itaongezeka maradufu.
Kwa hiyo ni kweli Tanzania SGR haifiki bandarini. Asanti kwa kuhakikisha.
 
Bora umeweka hii picha nikuoneshe branch ya kuingia bandarini ambayo inachepuka kabla ya kufika kwenye passenger terminal ambayo iko CBD.
Hapo juu ya mshale ndio reli inayoingia bandarini ikichepuka kutoka kwe sgr mainline ambayo wewe umeweka mstari wa yellow.View attachment 2254648
Wacha uongo bana. Huo mchepuko ni wa existing mgr rail. Not unless mnabomoa mgr mujenge SGR.
Screenshot_20220608-214157.jpg
 
Hakuna space ya kujenga mashalling yard hapo. Nadhani ndio maana wameijenga inland. By the way kwa hio video ya Sama boy 255 nimeona wameanza kujenga diversion yenye itaenda hadi kwa port, lakini juu hakuna space hapo kwa port itabidi wabomoe manyumba nyingi sana.
Hiyo route ya kuingia bandarini inapita chini kwa chini inakuja kuibukia pale BP depot halafu ndio inaingia port.
 
acha hasira basi usilie nyamaza 😂😂

probox kwa tanzania ni gari za kimaskini sana zinazobeba maboksi na nyasi za mbuzi 🤣🤣
huku pia probox zo hujulikana sana kwa biashara za kiharamu za kimagendo, hasa toka uganda ama sirari. ndo utakuta dirisha zao mingi huwa tinted very dark, kama hio unayoiona hapo 😆😆.
nb: probox is famous for all the wrong reasons humu.!
 
Ila we fala kweli? JPM alitaka kusambaratisha utalii akanunua midege mingi vile? Tena midege yote mikubwa akaipa majina ya vivutio vya kaskazini, una chuki za kike na already marehemu human being na sio lolote, ulisema hajajenga barabara Kilimanjaro, nimekuwekea barabara alizojenga aibu ikakujaa! [emoji706]

Sio Magufuli alikua anataka kujenga cable cars Kilimanjaro? [emoji848]
Bro mbona unapata tabu na hawa jamaa...tia block tu wawe wana post na kujijibu wenyewe. Kwann wakusumbue kichwa na pumba zao?
 
Yes flight number moja inaweza ikatumiwa na equipment zenye usajili tofauti kwa mfano dreamliner moja ya atc inayoenda mumbai kila mara kama haitakuwepo nafasi yake inaweza kujazwa na dreamliner nyingine lakini flight number inabakia hivyo hivyo. Hata kama ulitumia ndege ya kukodi ambayo haina livery ya shirika bado flight number itabakia hiyo hiyo kwa flight ya mda huo.
Yeah.
 
[emoji1787][emoji1787]yani hilo ajuza linajionaga jiarabu kweli[emoji28][emoji28]ndiyo maana kwenye ile katuni ya royal tour amebembeleza hadi katajwa kuwa "mweupe " woman in white colour" wakati hapo kapaka mikorogo ya kila aina ila wapi ...sura kama anajikamua [emoji90][emoji90]
Mkuu, kwa faida ya huu Uzi, tunashauri kuacha kujibu posts za huyu jamaa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Bado naona kuna majumba ya watu kwenye njia ya reli? Naona haya majumba bado hayajabomolewa? Ujenzi wa kipande hicho utachukua muda mrefu kwa sababu watu lazima waondolewe, nyumba zao zibomolewe, kisha ujenze uanze ili kufikisha SGR kwa port. Bila port SGR haina maana. Hii SGR ya Kenya chini ya miaka mitano tayari imeshasafirisha 1.7 million containers.
Ni kweli,Ila,SGR yenu ni tofauti na ya kwetu,hata ww unajua mkuu
 
Aisee ukisema wewe au mimi tutaambiwa ni wabinafsi,kumbe wabinafsi ni hao ambao hawataki wengine wapate...
Nimeajiriwa nilikua nanunua sukari 1kg 1800 hadi Sasa sukari 1kg nanuua 2800...
Kipindi icho mafuta ya petrol 1lita ilikua 1900 hivi sahivi 2900 lakini mshahara ulibaki uleule na posho ziliminywa tukawa tunaishi kibishi sana
Kwani hizo bei zimeongezwa kwa wafanyakazi pekee, wakulima, wavuvi na wafugaji wanasaidiwaje ili kupambana na kuongezeka kwa hizo bei?, au wafanyakazi ndio bmuhimu kuliko hao wengine?, Punguza ubinafsi mkuu.

Serikali lazima iwajali wananchi wote bila ubaguzi, waliosoma na wasiosoma, walio na ajira na wasiokua na ajira.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Shida ya nyie wakenya mna Tabia ya kujifanya mnaijua TZ lakin niwaambie tu ukweli hamujui chochote kuhusu TZ DAR Port Iko na eneo kubwa tu la kujenga hiyo marshalling .. [emoji116]View attachment 2254474View attachment 2254475na hapa jamaa wanafanya design and build, kwahyo tegemea kuona marshalling Yard DAR PORT
Marshaling yard ya Kwala itakuwa kubwa kuliko ndani ya Dar Port. Watatumia wagon kufanya shunting from Port to Kwala.

Ndani ya Port KUTAKAKUWA na marshaling za rail tracks 3 Sasa. SGR, MGR na TAZARA.
 
Back
Top Bottom