Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We Jamaa unafurahisha sana hii ni musoma nimepiga picha kwa simu yangu juzi Kati tu wakati nilipokua huko..👇View attachment 2254481View attachment 2254482View attachment 2254483View attachment 2254486View attachment 2254488View attachment 2254489in the middle of no where barabara kali zipo na umeme upo n.k .. una lipi la kuitisha TZ we mpuuzi wa kikunya.?
Kilaza kwa ubora 😂 😂 😂 😂 😂 .., did u even understand what I posted? wewe ni wa vipicha I had forgetten.,😂😂😂😂😂., it's economics idiot😂😂😂.., mimi sihitaji unionyeshe vipicha vya Musoma, mimi niko na uwezo wa kuikagua Tanzania inside out na upside down, kila eneo, kote kote, I know your level poor thing, tafuta wenzako wenye akili finyu mjadiliane kule vijiweni..,
 
Hakuna mkenya anamkubali mchoma vifaranga, hio ni sympathy wanaonyesha kwa marehemu.
Magufuli hated kenya and anything Kenyan to the core. I remember his comments when we were on partial lock down. Man, his hatred towards Kenya was an open secret
 
Wewe kinachokuuma ni SSH Kuongeza mishahara,mimi nilalamike nn wakati nimeshapata % zangu, ooh waangalie uzalishaji blablah yani unathubutu kiniita mbinafsi alafu ww ni mchoyo na mnafiki kwenye hili suala
Kaka, unapaswa kuwafikiria watanzania 92% ambao sio waajiriwa serikalini, Japan kujifikiria ninyi tu, hivi hujisikii vibaya kuona kwamba 2% ya watanzania wanapewa 40% ya mapato ya nchi?.

Jambo Moja ninalokushauri ni kwamba, jitahidi kuwekeza katika biashara usitegemee Sana mshahara wa serikalini, serikali haina uwezo wa kutosheleza mahitaji yako, hiyo % uliyoongezewa haitoshi hata kujaza petrol kwenye gari lako kwa wiki mbili, Labda Kama huna "private car".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wakenya tuliwacha kumkubali Magufuli alipoanza kuchoma vifaranga vyetu na kunadi ng'ombe zetu na kufunga border na kutatiza biashara kati ya nchi hizi mbili.
Sisi hatutaki kufanya biashara na ninyi, our biggest business partners are SADC members, ninyi mnalazimisha mashirikiano kwasababu "you have nor alternative in Africa"[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wachezaji wa NBA kuja Tanzania 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220608-152827.png
    Screenshot_20220608-152827.png
    113.9 KB · Views: 28
Ni kweli ipo kisheria lakini Wakenya wengi hawakupendezwa na tukio hilo. Media zote za Kenya ziliiangazia hilo jambo.
Wakenya wa kawaida waliendelea kumpenda kutokana na kuwatetea wananchi wa kipato cha chini na tabia yake ya kutembea vijijini na kusikiliza matatizo ya watu wa chini na kuwatafutia ufumbunzi

Huo ni ushahidi tosha kwamba wakenya mpo na shida ya kiakili, vipi mnachukizwa na nchi jirani inapotekeleza Sheria zake bila kuingilia Mambo ya nchi yenu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hili lipo kisheria usichanganye madesa! Hata leo ukiingiza mifugo kiholela fine inakuhusu ukishindwa kulipa inapigwa mnada! Pia bila kupitishwa na watu wa veterinary incineration inahusu.
Sasa mbona jamaa akifungua southerb bypass was busy claiming huwezi wekea maasai mipaka walishe their cattle, and speaking of maasais the number of tz maasais in nairobi ni wengi sana
 
Vipanya ni kama zile matt wanatumianga from Namanga to Arusha?
Hehehe. Nadhani wanaita all types of matatu vipanya isipokuwa buses. So mathree ndogo kabisa for example mololine shuttle na hata hizo minibuses zao wanaziita vipanya.
 
He is part of that system, and he is just their loyal guy. Mind you he will be set free in no time. Remember in that jpm regime that they now pretend to be against it,
It is only JPM ndio ameondoka, all the rest from parliament to top ministers are there in the system.
His PM ndiye president now
JPM’s minister of Finance ambaye ndiye mhusika mkuu na kufungwa kwa hayo maduka ya bureau huko Arusha is Now a SSH’s Prime minister (he got promoted [emoji3])
Thé JPM’s Prime minister is still SSH’s prime minister,
Waziri wa sheria wa wakati wa jpm ndiye waziri wa fedha wa Samia now.

Huwezi ambia watu kuwa JPM was doing what they say he did akiwa man alone,
it means they were part of his decisions kuanzia our current President, PM and everyone in the system.
Imagine same guys in the system were busy praising JPM and went far planning to extend his terms of presidency kwa kuvuruga katiba,
Halafu haohao leo wanasema JPM was bad.
African politics is all about filling the bellies of politicians and their families.
Hapa umenena ukweli game over. Lakini huyo mwizi Sabaya asiwachiliwe. Ingekuwa Uchina angekuwa ameshatiwa kitanzi. Lakini hapa Africa tulivyo wapuuzi, ushingae huyo Sabaya atawachiliwa na mwishowe kugombea urais na kushinda.
 
Magufuli hated kenya and anything Kenyan to the core. I remember his comments when we were on partial lock down. Man, his hatred towards Kenya was an open secret
Kenyans and Tanzanians hate each other since Nyerere and Jommo Kenyatta, don't try to blame Magufuli alone, we don't get along in anything

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mbona jamaa akifungua southerb bypass was busy claiming huwezi wekea maasai mipaka walishe their cattle, and speaking of maasais the number of tz maasais in nairobi ni wengi sana
Mnapaswa kufuata Sheria za Nchi yenu hampaswi kusikiliza maneno, ndio sababu kila nchi inatengeneza Katiba yake ili viongozi wasiwe wanaotumia mapenzi Yao katika kuongoza nchi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Azory Gwanda alitokea kaskazini?, Nilikuambia kwamba Magufuli alikua ni mtu katili, kiburi na alikua anakandamiza uhuru wa kisiasa, lakini hakuwa akilenga jamii Fulani, vitendo vyake vya kikatili walifanyiwa watu wote bila kujali kabila Wala jamii Fulani, kwanini umewekeza nguvu nyingi huko Kaskazini?.

Hili shamba la Mbowe, sababu za kuharibiwa zimeelezwa wazi kwamba alilima katika chanzo cha maji, jambo ambalo limekatazwa na Katiba ya nchi, alipewa miezi 4 kusitisha kilimo lakini hakutii Sheria za Nchi, yeye ni nani asichukuliwe hatua?, Mbona huzungumzii kitendo cha Mo Dewji kunyang'anywa mashamba ya Mkonge kule Tanga baada ya kushindwa kuyaendeleza, mbona huzungumzii kunyang'anywa mashamba ya Sumaye kule Morogoro, au kuchukuliwa kwa viwanda toka kwa matajiri walioshindwa kuviendeleza nchi nzima, wewe umekazania Kilimanjaro"specifically Mbowe?"

Mdude kutoka mkoa wa Mbeya, wanunuzi wa korosho huko Mtwara na Lindi, wote waliathirika kwa namna Moja au nyingine, Rugemarila na Seith, wote walikutana na Joto la utawala wa Magufuli, Nape Moses Mnauye alitolewa bastola hadharani, Kinana na Makamba walitukanwa hadharani na Musiba bila hatua zozote kuchukuliwa, kwanini usiwatetee hao wote badala yake unashikilia watu wa Kaskazini?, mkuu wewe una chembechembe za ukabila sio bure.

Mkuu, kusimikwa kwa Samia kuwa chief Mimi inanihusu nini, tunazungumzia Magufuli hapa, Samia ameingiaje, kwanini unataka kujishusha kiasi hicho?," I thought you are much better than this".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Well informed and clear facts.
 
Hapa umenena ukweli game over. Lakini huyo mwizi Sabaya asiwachiliwe. Ingekuwa Uchina angekuwa ameshatiwa kitanzi. Lakini hapa Africa tulivyo wapuuzi, ushingae huyo Sabaya atawachiliwa na mwishowe kugombea urais na kushinda.
Kama ambavyo Uhuru na Rutto walivyotetewa na wakenya baada ya kuwachoma moto wakenya kanisani na kusababisha vifo vya zaidi ya wakenya 1300, baadae pesa za serikali zikatumika kuwahonga na kuwaua mashahidi ili wasiende kutoa ushahidi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Azory Gwanda alitokea kaskazini?, Nilikuambia kwamba Magufuli alikua ni mtu katili, kiburi na alikua anakandamiza uhuru wa kisiasa, lakini hakuwa akilenga jamii Fulani, vitendo vyake vya kikatili walifanyiwa watu wote bila kujali kabila Wala jamii Fulani, kwanini umewekeza nguvu nyingi huko Kaskazini?.

Hili shamba la Mbowe, sababu za kuharibiwa zimeelezwa wazi kwamba alilima katika chanzo cha maji, jambo ambalo limekatazwa na Katiba ya nchi, alipewa miezi 4 kusitisha kilimo lakini hakutii Sheria za Nchi, yeye ni nani asichukuliwe hatua?, Mbona huzungumzii kitendo cha Mo Dewji kunyang'anywa mashamba ya Mkonge kule Tanga baada ya kushindwa kuyaendeleza, mbona huzungumzii kunyang'anywa mashamba ya Sumaye kule Morogoro, au kuchukuliwa kwa viwanda toka kwa matajiri walioshindwa kuviendeleza nchi nzima, wewe umekazania Kilimanjaro"specifically Mbowe?"

Mdude kutoka mkoa wa Mbeya, wanunuzi wa korosho huko Mtwara na Lindi, wote waliathirika kwa namna Moja au nyingine, Rugemarila na Seith, wote walikutana na Joto la utawala wa Magufuli, Nape Moses Mnauye alitolewa bastola hadharani, Kinana na Makamba walitukanwa hadharani na Musiba bila hatua zozote kuchukuliwa, kwanini usiwatetee hao wote badala yake unashikilia watu wa Kaskazini?, mkuu wewe una chembechembe za ukabila sio bure.

Mkuu, kusimikwa kwa Samia kuwa chief Mimi inanihusu nini, tunazungumzia Magufuli hapa, Samia ameingiaje, kwanini unataka kujishusha kiasi hicho?," I thought you are much better than this".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hivi uamuzi wa shamba kuwepo au kutokuwepo kwenye chanzo cha maji huamuliwa na NEMC au DC? JPM alikuwa mkabila aneyependelea Wasukuma wa Chato na victims wake wengi walikuwa watu wa Kaskazini. That's a fact can never be denied! Nilete evidence?

Moja alikuwa na mpango wa kumega ardhi ya Kagera Biharamulo na Kigoma kuileta Chato na kufanya Chato mkoa bila idhini ya wakazi wa sehemu hizo ila kwa matakwa ya watu wake wa Chato!

Pili alikwapua hela za uwanja wa Chato nje ya maadhimio ya Bunge kujengwa kijijini kwake badala ya makao makuu ya mkoa!

Tatu baada ya kulazimishia ziwa Burigi na ardhi inayolizunguka kuwa chini ya Burigi Chato NP alihakikisha inakuwa na gate Moja tu la Chato umbali km 82 na Mji wa. Biharamulo ambao upo km 16 akauzuia kufaidika na rasilimali za hifadhi.

Nne, aliilazimisha TANAPA kujenga hoteli ya nyota tano ya gharama ya Tshs 11 bln Chato akitulaghai ni nyota tatu. Mpaka leo haijakamilika. Kumbuka alipoingia 2015 alipiga marufuku ukamilishaji wa hoteli ya ghorofa 16 NSSF Mwanza.

Tano, Nyingine zaja...



-Ni mimi Mchagga wa Machame
Geza Ulole
 
Back
Top Bottom