Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani anamjua huyu 👇mtu mrefu zaidi Tz
the_giantjulius_1654269683345449.jpg
 
Kenya Roads Board wako na website, kila kitu wameanika maps na how to measure, wewe mwenyewe unapima, nilisema kila mti mtakwea utateleza., sasa ukidhibitisha Kenya has 23,000km tafadhali njoo uhadithie na wenzako kama vile baba levo alishuhudia Nairobi akakuja kuwahadithia kupitia wasafi radio., alishangaa hizo uchafu mnapost huku kuhusu Nairobi kwa ground sio vile

View attachment 2249265
Kwa hicho kiramani I dont see road network of even 5k
 
Ni wajinga. Wanashangilia Mlazy mwenzao kwa jina la chongchung anayepost barabara ambazo bado zipo under construction halafu bado wanataka battle. Chongchung alishakataza Wakenya kupost barabara chini ya 100 km ilhali yeye anapost ya 20 km.
Huhitaji ruhusa ya mtu kupost barabara hata kama inajengwa ya km 20 we post tu tuone mzee...
Waswahili tuna msemo kuwa " kuona ndio kuamini"
Huwa hatuamin kitu tusichokiona mzeee
 
Ni wajinga. Wanashangilia Mlazy mwenzao kwa jina la chongchung anayepost barabara ambazo bado zipo under construction halafu bado wanataka battle. Chongchung alishakataza Wakenya kupost barabara chini ya 100 km ilhali yeye anapost ya 20 km.
Nyie mlisema Kenyatta kajenga 11k kilometers of road network sasa tunaomba tuzione hapa.
 
Back
Top Bottom