Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kweli umelemewa, sasa hizi ni upuzi gani unapost? ukimaliza post na data from your roads body total paved network, usiogope., wacha niendelee kukup facts naona umekwepa unatafuta pakutokea sasa..,

The best 007 ., usikimbie..,
View attachment 2249306
View attachment 2249307
View attachment 2249308
Note the highlighted bit., as at June 2021..,
View attachment 2249311
Hatutaki makaratasi, haya makaratasi mliyatumia kuongopa kwa miaka mingi, kwa ss tunataka vitendo. Ongea kwa vitendo, weka barabara tuione kama sisi tunavyofanya ili tukate mzizi wa fitina.
 
IMG_7719.jpg
 
Sasa roads za jua kali tangu ujenzi wake ndiyo za kulingia? Kwnn unasema muonekano wake wa sasa? Nyie ni mabingwa wa jua kali projects, hata Thika pia ni jua kali View attachment 2249310
Unatamani ingekua Tanzania, utaondoka kabla haujaona such., 🤣 🤣 😂 😂 😂 😂 😂 sio makosa yetu usituchukue, ni Kibaki soja., laumu CCM kwa kuwaweka nyuma hivyo eti Kibaha ndio super highway ya Tanzania😆😆😆😆😜😜😜

The best 007 unajaribu kupotosha na picha za kitambo lakini wapi., dunia ya leo uongo haina maisha.., unatamani iwe ugly but pole sana 😂🤣🤣🤣
1654262860217.png

1654261929070.png

1654262703398.png

1654262631051.png

1654262647116.png

1654262663524.png

1654262682150.png

1654262727239.png

1654262744613.png
 
Unatamani ingekua Tanzania, utaondoka kabla haujaona such., sio makosa yetu usituchukue, ni Kibaki soja., laumu CCM kwa kuwaweka nyuma hivyo eti Kibaha ndio super highway ya Tanzania

The best 007 unajaribu kupotosha na picha za kitambo lakini wapi., dunia ya leo uongo haina maisha.., unatamani iwe ugly but pole sana
View attachment 2249334
View attachment 2249313
View attachment 2249330
View attachment 2249325
View attachment 2249326
View attachment 2249327
View attachment 2249329
View attachment 2249331
View attachment 2249333
chongchung atawaua, kwa ss uzi umekuwa mchungu
 
Mwaka jana Januari 6 tulitoka Dar Mpaka Chato na Reporters wa CGTN mpaka Chato kwa Mheshimiwa Rais wa awamu ya Tano Mh Magufuli ambapo nilishuhudia utiaji saini mkataba wa SGR. Wale wakulungwa walisema, walidhani hapa Africa distance kubwa sana ni kutoka ukingo wa Bahari ya Hindi hadi Gambia, hawakujua kumbe ni Dar mpaka Chato . Na pote hapo ni Mkeka.

Pia enzi za Mh Rais Kikwete alisema kwa barabara za lami alizojenga ingekua nchi za Jirani zingefika gadi kwenye matendegu ya vitanda vyao

View attachment 2249332
Mkuu hawa Wakunya waishukuru sana JF
 
Hatutaki makaratasi, haya makaratasi mliyatumia kuongopa kwa miaka mingi, kwa ss tunataka vitendo. Ongea kwa vitendo, weka barabara tuione kama sisi tunavyofanya ili tukate mzizi wa fitina.
Hatuwezi kujishusha to feed your idiocy, yaani ni post barabara alafu niandike eti 200km., huo ni upuzi, dhibitisha na body husika kama ya ujenzi wa barabara., kwanza body ya tanzania (Tanroads) walisema mko na around 9000km paved, so nyie ni kelele tu mtapiga hapa., mimi nitaamini Tanroads.., ona vile wameweka mambo wazi wazi..,
Kwa mfano in their website click a region., kisha utaona kila kitu, from paved to others, mfano nime click Arusha
1654263400571.png

Matokeo from pdf.., paved ni hiyo black., ona vile Arusha one of Tanzania major town imejaa vumbi 😂 😂 😂 😂
1654263494978.png
 
Mwaka jana Januari 6 tulitoka Dar Mpaka Chato na Reporters wa CGTN mpaka Chato kwa Mheshimiwa Rais wa awamu ya Tano Mh Magufuli ambapo nilishuhudia utiaji saini mkataba wa SGR. Wale wakulungwa walisema, walidhani hapa Africa distance kubwa sana ni kutoka ukingo wa Bahari ya Hindi hadi Gambia, hawakujua kumbe ni Dar mpaka Chato . Na pote hapo ni Mkeka.

Pia enzi za Mh Rais Kikwete alisema kwa barabara za lami alizojenga ingekua nchi za Jirani zingefika gadi kwenye matendegu ya vitanda vyao

View attachment 2249332
Kwahiyo distance ya ukingo wa Bahari ya Hindi mpaka Gambia ni ndogo ukilinganisha na distance ya Dar mpaka Chato? Kaka hapa umechanganya madesa!
 
Back
Top Bottom