Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa Jinsi wanavyoongea watu wa Huu mji nilitegemea Kuendane na maneno yao.

Kwenye Video Properly marked roads ni mtihani , Full of Chaos na hii ni Jumapili je siku za kazi inakuaje. Pia inaonekana Mikokoteni inalipa maana ipo kila kona, Jiji halina Bus la maana hata moja na malori yaliyogeuzwa kubebea abiria yapo kila kona . Wana kamera barabarani ambazo zinasaidia mengi pamoja na kuweka order ila sidhani kama zinatatua mambo hayo. ( Traffic na Police wangekusanya rundo la pato kutokana na kuwaadabisha wanao sababisha kutokua na order mfano maeneo ya pedestrian na kusimamisha magari ovyo kila eneo hasa ya abiria. Moi avenue imesifiwa na mwenye video kwamba ni properly marked road lakini kwa Taifa la uchumj mzito hivyo haina maajabu yoyote.

Pia swala la ukusanyaji taka ni majanga, kuna taka kila eneo.

Ule ugonjwa wa Dar wa Machinga pembezoni mwa Barabara naona tumewaachia wao.

Naona huu mji hauheshimu hata kidogo Pedestrian, wanavuka ovyo hakuna maeneo yao muhimu ya kuvukia na wengine wanatembea juu ya Fly over .

View attachment 2248867
View attachment 2248868
View attachment 2248869
View attachment 2248870
View attachment 2248871
View attachment 2248872
View attachment 2248873


Machinga Kambi popote .

View attachment 2248874
View attachment 2248875


Watu wanatembea juu ya Fly over .

View attachment 2248876
View attachment 2248877
View attachment 2248878


Typical Third world city type with African broken streets.

View attachment 2248883
View attachment 2248884
View attachment 2248885
View attachment 2248886
View attachment 2248887
Uzuri umekubali kwamba Kenya ina uchumi mzito.
 
Leo hamuna fact ya kuleta mmebaki kutukana tu 😂😂😂 kweli mmeshinkwa pabaya
Tumewapa world bank, mnakimbia, KNBS hamtaki kuwaskiza, Roads Board mnachukua tu ka sehemu kenye mtu ame quote not even their website.,
Haya basi click here;
Navigate kote kote kisha uje..,
 
Kenya Roads Board wako na website, kila kitu wameanika maps na how to measure, wewe mwenyewe unapima, nilisema kila mti mtakwea utateleza., sasa ukidhibitisha Kenya has 23,000km tafadhali njoo uhadithie na wenzako kama vile baba levo alishuhudia Nairobi akakuja kuwahadithia kupitia wasafi radio., alishangaa hizo uchafu mnapost huku kuhusu Nairobi kwa ground sio vile😜😂😂😂😂😂

View attachment 2249265
Aliekuambia hizo barabara zote ni za lami ni nani?
 
Tupe budget ya serikali on roads construction kwa hiyo period uliyosema that most roads were built. Tukipata budget zake tutajiridhisha na kukubali.
Kazi rahisi sana.., tembelea hapa., links ni kibao ndani ya website ya Kenya National Bureau of Stattistics..,
Pdf Facts and Figures 2020.,
1654259673922.png


Kwa wale vilaza wenye uelewa finyu, each figure u multiply by a million as indicated (Ksh Million)., dadeki..,
1654259688586.png
 
Aliekuambia hizo barabara zote ni za lami ni nani?
Nani amesema ni za lami? mbona wewe Mwehu? unajaribu kukwepa eti? 🤣 😂 😂 😂 😂 😂 nimesema click the website ufanye utafiti.., si mnataka facts., kila kitu tunawapea wazi wazi., we are not CCM.,
 
Mnyonge mnyongeni ila Girrafe Manor ni Bonge la Idea ..na tourism site ...i would love Tz iwe na sehemu kama hyo
Nilitembea huko last year kulisha twiga. NDINDA anasema Wakenya hatupost picha zetu. Kitu ambacho nimeshika katika mkono wa kushoto ni chakula cha twiga.
IMG-20201222-WA0010.jpg
 
Its not the resources, its the mentality of the people
Never say never...resource rich country like Tz its a matter of time things are booming like fire works...the time you'll realise that we r not the same
resources, its the mentality
 
Unafikiria Kenya ni Tanzania kila kitu ni hafla? ata sikumbuki outer ring ikiwa na hafla ilipojengwa.., Red hill haikua na hafla,., yaani ujenzi mingi ya barabara Kenya haina hafla, tulizoea bana, kila kitu sio mbwembwe ama sherehe shenzi type, yaani umelemewa unatafuta vijisababu uchwara, nyambaff, jipe shughli ulcers itakumaliza mzee, usife kwa pressure bure
Hizi nazo ni road za kusubiri uzinduzi wajameni?
tapatalk_1600937154770.jpg
tapatalk_1601416134025.jpg
 
Mkuu chongchung hongera kwa kazi iliyotukuka ya kuwabana hawa wahuni.. ebu wape mfano..post barabara zote za bongo zilizozinduliwa kuanzia sasa kurudi nyuma hadi 2015.. post na distance.. kila unapopata nyingine, jiqoute afu jumlisha hizo distance..mwingine atakaekuquote asisahau kujumlisha distance
I challenge kenyans to do the same
chongchung a.k.a Avtomat Kalashnikova the Ak 47 machine hawatomsahau
 
Back
Top Bottom