Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_7717.jpg
 
How much is the entrance fee.?
how girrafes ni wanatokea national park au walihamishwa wanafugwa humo ?
Watu kutoka nchi za East Africa wanalipa ksh 400 which is just $4. Watu wanaotokea nje ya East Africa wanalipa ksh 1,500 which is around $15.
Kuhusu swali lako kuhusu hawa twiga. Hawa wanafugwa hapo giraffe centre. Hawaishi porini. Wameshazoea kutangamana na watu na ni wapole. Hakuna cha kuwaogopa maana ni wapole sana, wao wanataka tu chakula. Unawalisha na unapiga picha nao.
 
Yaani uko desperate, do u know how this roads look like kwa sasa? utanyongwa na wivu soja boy
Sasa roads za jua kali tangu ujenzi wake ndiyo za kulingia? Kwnn unasema muonekano wake wa sasa? Nyie ni mabingwa wa jua kali projects, hata Thika pia ni jua kali
Screenshot_20211116-180302.jpg
 
6. Sanzate Nata 50 kilometers

🛣️ 903 km


Kweli umelemewa, sasa hizi ni upuzi gani unapost? ukimaliza post na data from your roads body total paved network, usiogope., wacha niendelee kukup facts naona umekwepa unatafuta pakutokea sasa..,

The best 007 ., usikimbie..,
1654261670553.png

1654261688944.png

1654261698905.png

Note the highlighted bit., as at June 2021.., 👇 👇 👇
1654261724988.png
 
Kweli umelemewa, sasa hizi ni upuzi gani unapost? ukimaliza post na data from your roads body total paved network, usiogope., wacha niendelee kukup facts naona umekwepa unatafuta pakutokea sasa..,

The best 007 ., usikimbie..,
View attachment 2249306
View attachment 2249307
View attachment 2249308
Note the highlighted bit., as at June 2021.., 👇 👇 👇
View attachment 2249311
Asante kwa kupost hili. chongchung hii ni data ya KNBS. Usijaribu kupinga.
 
Back
Top Bottom