Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yah iyo ndo babalao inakuja kumpiku giraffe mannor
Wewe huoni hata twiga wenu wana umri mdogo kushinda wale wa Nairobi? Usilete ligi kwenye kila kitu. Nairobi giraffe centre imekuwepo kwa miaka nyingi. Hii yenu imeanzishwa tu juzi kwa sababu lazima mucopy Kenya kwa kila kitu. Nairobi ina mambo mengi. Hapa Nairobi tuna elephant orphanage ambayo nyie hamna. Ndovu wachanga ambao wazazi wao wamefariki wanalelewa hapo.

1654272731344.png

Hapa ni John Kerry wakati bado alikuwa secretary of state of USA akimpa mtoto wa ndovu maziwa
1654272797397.png

Huyu ndiye mzungu aliyeanzisha hili elephant orphanage hapa Nairobi kwa jina la Daphne Sheldrick
1654272870173.png

Katoto ka ndovu kanapewa maziwa
1654272954922.png

Haka nako kanabugia kote bila kubakisha hata tone.
1654272995937.png

Huyu ni mjanja wa mjini anajua kujinywesha, hataki usaidizi
1654273081503.png

cc Tz_one
 
Kwani ni uongo., in 2018 tarmacked road ukilinganisha na total number ya road network ambayo ni 160,000km, not tarmacked will be slightly more than 90%., kama kwa sasa only 23,000km iko tarmacked, out of 160,000km plus., ukifanya hesabu utapata percentage ngapi? more than 86% is not tarmacked., umechunguza na ya Tanzania.., total road network vs tarmacked? yaani mko na over 90% not tarmacked in 2022., yaani unajaribu kujitekenya lakini wapi., ama ulitaka tupinge? still mnabakia kwa mkia wetu., hadi raha
Ni 12,950 tarmacked out of 160k
Screenshot_20220602-204329_Opera.jpg
 
Wewe huoni hata twiga wenu wana umri mdogo kushinda wale wa Nairobi? Usilete ligi kwenye kila kitu. Nairobi giraffe centre imekuwepo kwa miaka nyingi. Hii yenu imeanzishwa tu juzi kwa sababu lazima mucopy Kenya kwa kila kitu. Nairobi ina mambo mengi. Hapa Nairobi tuna elephant orphanage ambayo nyie hamna. Ndovu wachanga ambao wazazi wao wamefariki wanalelewa hapo.

View attachment 2249559
Hapa ni John Kerry wakati bado alikuwa secretary of state of USA akimpa mtoto wa ndovu maziwa
View attachment 2249561
Huyu ndiye mzungu aliyeanzisha hili elephant orphanage hapa Nairobi kwa jina la Daphne Sheldrick
View attachment 2249562
Katoto ka ndovu kanapewa maziwa
View attachment 2249563
Haka nako kanabugia kote bila kubakisha hata tone.
View attachment 2249564
Huyu ni mjanja wa mjini anajua kujinywesha, hataki usaidizi
View attachment 2249566
cc Tz_one
Ishakua zilipendwa iyo Serval willdlife ndo babalao saivi



Wana rooms kama za countrside za marekani 👆👆 na iyo ni phase 1 tuu
 
Leta evidence to support your president's claims .. tunataka kuona hizo roads manzee 😂😂
Go back and check nimepost tu sahii jioni and it's only from one road agency, which is doing an average of 1000km of paved roads per year.
 
Back
Top Bottom