Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

23. Kidatu > Ifakara 67 kilometers

๐Ÿ›ฃ๏ธ 1813 km


Usiache kitu.. ongezea hii ya samia
Screenshot_20220603-124344_Chrome.jpg
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Kumbe hata kusoma hiyo ramani hujui ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sikia TZ kuna bodi mbili za barabara ambapo tuko na TANROADS (kwaajili ya barabara kubwa tu) na TARURA (barabara za ndogo ndogo za ndani) .. hizo ramani umepost hapo zinaonyesha barabara kubwa tu zinazounganisha mikoa (Regional roads network). Kwahyo kama ARUSHA iko na hiyo network hiyo Mombasa ni vichekesho ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mombasa ni level ya Dar wacha kujitekenya.., wameonesha barabara zote, check the key idiot ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
alafu TANROADS data are not limited to major roads nyambaf, tarura wana manange barabara ndogo ndogo., TANROAD is the main body kama Kenya Roads Board(KRB).., even though kuna KENHA na KURA, body ni KRB.., wacha ufala wewe, mtajua hamjui roundi hii, nyambaff๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†
 
Ruhusa kupost hata za ukaguzi. Ongeza za uzinduzi, ongeza za kutiwa sain (ila onyo, msizirudie). Tunataka kuona 11000km za barabara zenu alizosema Uhunye. Mbona issue nyepes tu ila mnalialia
Nashangazwa sana na hawa Jamaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ barabara wanazopost humu kila siku hazifiki nne na ni hizo hizo kila siku ndio wanapost
 
Unapost picha za uzinduzi
Uzinduzi iwe na nyasi, wakati thika road inazinduliwa nyasi haikuwa imemea kama hivi,๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ mazingira yalikua yamearibiwa na ujenzi, idiot๐Ÿคฃ ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ., leo nakunyonga hadi basi..,
1654266201353.png

 
Mombasa ni level ya Dar wacha kujitekenya.., wameonesha barabara zote, check the key idiot ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
alafu TANROADS data are not limited to major roads nyambaf, tarura wana manange barabara ndogo ndogo., TANROAD is the main body kama Kenya Roads Board(KRB).., even though kuna KENHA na KURA, body ni KRB.., wacha ufala wewe, mtajua hamjui roundi hii, nyambaff๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†
Kwa mtandao wabarabara za TARURA ARUSHA imekula lami karibu kila kona, we tumia google earth tu, usijitie ujuaji utachekwa, mana huo utakua ni upumbavu kuzungumzia vitu usivyovijua.. tumia google earth ukishindwa
 
Kwa mtandao wabarabara za TARURA ARUSHA imekula lami karibu kila kona, we tumia google earth tu, usijitie ujuaji utachekwa, mana huo utakua ni upumbavu kuzungumzia vitu usivyovijua.. tumia google earth ukishindwa
Unasema Arusha CBD ama Arusha region? less than km street connections๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ,
tafuta kazi ingine dogo๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Kweli umelemewa, sasa hizi ni upuzi gani unapost? ukimaliza post na data from your roads body total paved network, usiogope., wacha niendelee kukup facts naona umekwepa unatafuta pakutokea sasa..,

The best 007 ., usikimbie..,
View attachment 2249306
View attachment 2249307
View attachment 2249308
Note the highlighted bit., as at June 2021.., ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡
View attachment 2249311
Hilo jedwal kwa chin ambalo hujapost lote ndo hii au nyingine?

what is minor road, special purpose road, unclassified roads?

Screenshot_20220603-173518_WPS Office.jpg
 
Unasema Arusha CBD ama Arusha region? less than km street connections๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ,
tafuta kazi ingine dogo๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Nacheka mpaka basi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ unakula kichapo mpaka hujui namna ya kutoka .. by the way, tunataka kuona 10k km alizodai uhunye amejenga
 

Attachments

  • IMG_20220601_093156_111.jpg
    IMG_20220601_093156_111.jpg
    1.2 MB · Views: 14
Hii pia ni ya serikali yenu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tena fresh kabisa

View attachment 2249352
Kwani ni uongo., in 2018 tarmacked road ukilinganisha na total number ya road network ambayo ni 160,000km, not tarmacked will be slightly more than 90%., kama kwa sasa only 23,000km iko tarmacked, out of 160,000km plus., ukifanya hesabu utapata percentage ngapi? more than 86% is not tarmacked., umechunguza na ya Tanzania.., total road network vs tarmacked? yaani mko na over 90% not tarmacked in 2022., yaani unajaribu kujitekenya lakini wapi., ama ulitaka tupinge? still mnabakia kwa mkia wetu., hadi raha ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜†
 
Kwani ni uongo., in 2018 tarmacked road ukilinganisha na total number ya road network ambayo ni 160,000km, not tarmacked will be slightly more than 90%., kama kwa sasa only 23,000km iko tarmacked, out of 160,000km plus., ukifanya hesabu utapata percentage ngapi? more than 86% is not tarmacked., umechunguza na ya Tanzania.., total road network vs tarmacked? yaani mko na over 90% not tarmacked in 2022., yaani unajaribu kujitekenya lakini wapi., ama ulitaka tupinge? still mnabakia kwa mkia wetu., hadi raha ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜†
Tunataka kuona barabara zenye ziko tarmacked.. zipo wapi mbona tusizione ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.?
 
Kwani ni uongo., in 2018 tarmacked road ukilinganisha na total number ya road network ambayo ni 160,000km, not tarmacked will be slightly more than 90%., kama kwa sasa only 23,000km iko tarmacked, out of 160,000km plus., ukifanya hesabu utapata percentage ngapi? more than 86% is not tarmacked., umechunguza na ya Tanzania.., total road network vs tarmacked? yaani mko na over 90% not tarmacked in el2022., yaani unajaribu kujitekenya lakini wapi., ama ulitaka tupinge? still mnabakia kwa mkia wetu., hadi raha ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜†
Maelezo mengi wakati kila kitu kipo wazi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hilo jedwal kwa chin ambalo hujapost lote ndo hii au nyingine?

what is minor road, special purpose road, unclassified roads?
View attachment 2249425
Niliweka link mkague yote kuhusu Kenya., sisi sio CCM.., niliweka section inayo onyesha total paved roads.., na kuonyesha inatoka wapi.., kazi kwako.., everything about kenya iko hapo., ukitaka ingia google earth udhibitishe, leo nawanyonga nyote ๐Ÿ˜†
 
Back
Top Bottom