Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tulia nikuoneshe show 😂😂😂

Ninyi si mumeshindwa kuonesha vumbi zenu, wacha muone lami 😂😂😂
Naona imeingia yote 😂😂😂😂
Basi kuwa fair kama unataka battle.
1. Ruhusu Wakenya pia wapost chini ya 100 km kama wewe unavyofanya.
2. Ruhusu Wakenya wapost picha ambazo sio za uzinduzi kama wewe unavyofanya.
3. Ruhusu Wakenya pia wapost barabara ambazo hazijakamilika kama wewe unavyofanya.
 
Kilaza atapinga, ni fala., mimi nimeleta link ya Kenya Roads Board, bado hawataki, naleta pia yao ya TANROADS., hii hapa
Mtu asikudanganye., whatever tanroads say is true same na Kenya KNBS na KRB.., mchezo nilimaliza
Hii pia ni ya serikali yenu 😂😂😂

Tena fresh kabisa

Screenshot_20220602-204329_Opera.jpg
 
Kweli umelemewa, sasa hizi ni upuzi gani unapost? ukimaliza post na data from your roads body total paved network, usiogope., wacha niendelee kukup facts naona umekwepa unatafuta pakutokea sasa..,

The best 007 ., usikimbie..,
View attachment 2249306
View attachment 2249307
View attachment 2249308
Note the highlighted bit., as at June 2021.., 👇 👇 👇
View attachment 2249311
Unaonyeshwa Barabara kwa ground, we unataka kuona maandishi 😂😂😂 umechanganyikiwa.? Magari hayaonyeshwi kwenye maandishi mzee magari yanaendeshwa ground, jitetee sasa, do the same (onyesha hizo barabara zenu kwa ground)
 
Hatutaki vipicha na kiswahili., kile hawa wanasema ndio ukweli., mko hovyo nani 🤣 😂 😂 😂 😂
Ni wajinga. Wanashangilia Mlazy mwenzao kwa jina la chongchung anayepost barabara ambazo bado zipo under construction halafu bado wanataka battle. Chongchung alishakataza Wakenya kupost barabara chini ya 100 km ilhali yeye anapost ya 20 km.
 
Hatuwezi kujishusha to feed your idiocy, yaani ni post barabara alafu niandike eti 200km., huo ni upuzi, dhibitisha na body husika kama ya ujenzi wa barabara., kwanza body ya tanzania (Tanroads) walisema mko na around 9000km paved, so nyie ni kelele tu mtapiga hapa., mimi nitaamini Tanroads.., ona vile wameweka mambo wazi wazi..,
Kwa mfano in their website click a region., kisha utaona kila kitu, from paved to others, mfano nime click Arusha
View attachment 2249341
Matokeo from pdf.., paved ni hiyo black., ona vile Arusha one of Tanzania major town imejaa vumbi
View attachment 2249343
Sasa ndio tunawaonesha hizo 9k kilometers wanazosema Tanroad
 
Ni wajinga. Wanashangilia Mlazy mwenzao kwa jina la chongchung anayepost barabara ambazo bado zipo under construction halafu bado wanataka battle. Chongchung alishakataza Wakenya kupost barabara chini ya 100 km ilhali yeye anapost ya 20 km.
Kwanini msituonyeshe hizo barabara mnazojipiganazo kifua kwamba mmejenga.? Eti broh? Ziko wapi hizo barabara.?
 
Unaonyeshwa Barabara kwa ground, we unataka kuona maandishi 😂😂😂 umechanganyikiwa.? Magari hayaonyeshwi kwenye maandishi mzee magari yanaendeshwa ground, jitetee sasa, do the same (onyesha hizo barabara zenu kwa ground)
Mbona niandike kwa mate na wino upo? si ni upumbavu huo? 🤣 😂 😂 😂 😂 . TANROADS wamefanya kazi rahisi mimi sihitaji sarakasi zenu, mnatafuta njia ya kukwepa ukweli nawajua vizuri sana😆😂😂.,I just click link ya TANROADS kisha na pick a region inanionyesha road network paved na vingine., ona mifano (click link and pick a region)
1654264571562.png

1654264223602.png

Lami iko tu Dar, ona Arusha..,
1654264238781.png

1654264434361.png
 
Basi kuwa fair kama unataka battle.
1. Ruhusu Wakenya pia wapost chini ya 100 km kama wewe unavyofanya.
2. Ruhusu Wakenya wapost picha ambazo sio za uzinduzi kama wewe unavyofanya.
3. Ruhusu Wakenya pia wapost barabara ambazo hazijakamilika kama wewe unavyofanya.
Uhuru ame claim kwamba nyie jamaa mlitengeneza 10k km za barabara in 9 years, tunataka kuona angalau uzinduzi wa hizo roads (japo barabara ya km 100 tu), becoz u already have them, kwanini unaomba kupost roads zenye ziko under construction.? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom