Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

8. Kazilambwa Chagu 40 kilometers

🛣️ 1000 km


Hii nyahua chaya tayar
Screenshot_20220603-123726_Chrome.jpg
 
Mbona niandike kwa mate na wino upo? si ni upumbavu huo? 🤣 😂 😂 😂 😂 . TANROADS wamefanya kazi rahisi mimi sihitaji sarakasi zenu, mnatafuta njia ya kukwepa ukweli nawajua vizuri sana😆😂😂.,I just click link ya TANROADS kisha NA PICK a region ianonyesha road network paved na vingine., ona mifano (click link and pick a region)
View attachment 2249364
View attachment 2249355
Lami iko tu Dar, ona Arusha..,
View attachment 2249357
View attachment 2249360
😂😂😂 Kumbe hata kusoma hiyo ramani hujui 😂😂 sikia TZ kuna bodi mbili za barabara ambapo tuko na TANROADS (kwaajili ya barabara kubwa tu) na TARURA (barabara za ndogo ndogo za ndani) .. hizo ramani umepost hapo zinaonyesha barabara kubwa tu zinazounganisha mikoa (Regional roads network). Kwahyo kama ARUSHA iko na hiyo network hiyo Mombasa ni vichekesho 😂😂😂
 
Kumbe Tanzania ni hovyo.., ona black lines ni tarmac.., Vumbi nation, sihitaji dhibitisho ya vipicha naeza tumia google earth.,
Asante sana TANROADS kwa kuweka kila kitu wazi chongchung na The best 007 hawatanipotosha,🙏😆😆😆😂😂.,
ona mifano👇👇👇 wasio penda ukweli wajinyonge😜

1654265120880.png

1654265528113.png

1654265507016.png

1654265551854.png

1654265577311.png
 
Wanakagua ujenzi wacha ujinga. Huu sio uzinduzi. Huu ni mchezo wa kitoto sasa. Unataka Wakenya wapost uzinduzi ilhali wewe unapost ujenzi. Akili kichwani basi.
Ruhusa kupost hata za ukaguzi. Ongeza za uzinduzi, ongeza za kutiwa sain (ila onyo, msizirudie). Tunataka kuona 11000km za barabara zenu alizosema Uhunye. Mbona issue nyepes tu ila mnalialia
 
Back
Top Bottom