Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kitu kimepinduka! ila kikisukumwa kinakaa sawa! Tony254 fanya maarifa!
FNJDZUlWUAM6RVU
nawatanya kweli ujue hawa majirani akili zao hazijakaa vizuri,,

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
nawatanya kweli ujue hawa majirani akili zao hazijakaa vizuri,,

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
kitu kinapinduka chenyewee...! hapo kama landlord ni mkikuyu atajitahidi kwa namna yoyote ile jengo lisidondoshwe!
BTW GoT wasithubutu kutoa kandarasi ya jengo la Ubalozi kwa kampuni ya Kikunya!
 

nah, huyo jamaa kachanganyikiwa, Uhuru park na Railway golf club ni tofauti... They both existed since the 70's, hata ukiangalia hio tweet yake ya mwisho ndo alijirekebisha Kwa kusema watu hawatumii Uhuru park Kwa picha tena, wanatumia railway golf club kwasababu ni nzuri zaidi....
Lakini ningemjibu Kwa kumwambia Uhuru park iko under renovation sahii, so awache kuropokwa
 
Onesha ya Kunyaland au hamna wanafunzi Russia?
Wanafunzi wetu tuliwatoa kitambo sana.... waliobaki wameambia consular embassy ya Kenya in Kiev kwamba wanaishi Kwa miji midogo kwahivyo wako salama Ukraine...

Alafu Russia ilipeleka mabasi kutoa wanafunzi wa kigeni wote kwenye hicho chuo, haikujalisha ni wa nchi gani, Watanzania Tu ndo wamegeuza hii kua propaganda Kwa wananchi.... Veery gullible people watanzania!

Screenshot_2022-03-06-11-33-48-616_com.twitter.android.jpg


Screenshot_2022-03-06-11-41-55-375_com.android.chrome.jpg
 
Back
Top Bottom