tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Atleast hapo alifikiria kama mwanaumeMagufuli alipiga stop pensions kuwekeza kwenye majengo alitaka wawekeze kwenye viwanda.
Atleast hapo alifikiria kama mwanaumeMagufuli alipiga stop pensions kuwekeza kwenye majengo alitaka wawekeze kwenye viwanda.
Unachekesha..Putin ana miaka 69.... 1973 Putin alikua na miaka 20, Kabla hata muendelee, Kijana WA miaka 20 Hana ujuzi wowote kufundisha wanajeshi kupigania ukombozi wa Africa kutoka Kwa wakoloni..
Putin wakati huo alikua mwanafunzi Kwa chuo kikuu akisomea shahada ya Law... Aligraduate Mwaka wa 1975.. Baada ya ku graduate hapo ndo alijiunga na KGB kama low level officer.. Hii ni historia yake.. Lakini kwavile akili ya Mtz imeshazoea kulishwa propaganda za ki communist utabaki ukishindana siku nzima

National Library at Upperhill
View attachment 2140205
View attachment 2140206
View attachment 2140207
View attachment 2140208
View attachment 2140209
today Teargas has clearly proofed that kenya has a gdp of over $100+b.! in broad daylight... these scenes are just lit🔥
Mganangwa alipokuja bongo kuna alisema apelekwe huko kaole bagamoyo ilikua training camp yao . Sema watu wa historia waweke vizuri ni source ya utalii .Kwahiyo u abisha kuwa Putin hajawahi kufika Bongo.?Sio tu kufika Bongo mwamba aliishi Tz kwa miaka minne .. picha yake hii
View attachment 2140152soma hapa
Did Russian President, Vladimir Putin, Really Live and Work in Tanzania?.
Hii nchi inaheshimika na kupendwa sn duniani.
Kwani Nini mbaya? Si uoneshe escalator kwenye bus terminals kunako Kunyaland!mpuuzi ni nyanyako.... Alichosema mtoa post kiliambatana na picha moja ya escalator, eti kwamba hio ni bus terminal na sio airport...
Yaani Kwa ushamba wake escalator inapatikana JNIA pekee kwahivyo ni maajabu makuu kwamba bus terminal ya Tz iko na escalator! Ndo mi nikamjibu kwamba escalators huku kwetu hua tukienda supermarket tunaachilia watoto wazichezee, hicho si kitu cha kuringia mtu.
Hii nchi ni mfano sn hapa duniani, karibia 90% ya wamba wa dunia wamepita hapa, hii battle tumeiweka kuwaliwaza tu hawa kunguni lkn hakuna battle hapa trust me.Kwahiyo u abisha kuwa Putin hajawahi kufika Bongo.?Sio tu kufika Bongo mwamba aliishi Tz kwa miaka minne .. picha yake hii
View attachment 2140152soma hapa
Did Russian President, Vladimir Putin, Really Live and Work in Tanzania?.
Onesha ya Kunyaland au hamna wanafunzi Russia?Russia wenyewe wametamgaza , safe corridor ya Wanafunzi kutoka nchi mbali mbali.....
mea on sumy students safe corridor russia ukraine - PiPa News
India's Foreign Ministry has said that it has asked Russia and Ukraine to create safe corridors for Indian students trapped in Sumi. Creating a securepipanews.com
Kama unavyoona hapo Kwa picha wahindi nao wameambiwa washikilie bendera Yao.... kwakofupi bendera ambayo hairuhusiwi kuringia Russia ni bendera ya Ukraine..
View attachment 2140150
From
![]()
To
![]()
While the Chinese r ur only source of pride in public while only hope in reality as far a chase for self glorification n chest thumbing development ego in Kunyaland is concerned! That express highway is a courtesy of master-slave exploitation!Hizi nchi zote zilivote in favour of Russia plus wenye walikata kuvote zote Ni SHITHOLE,
Kitu kingine Ni hakuna nchi Ni DEVELOPED pia.
Ujinga tu.
Heheheheee mm nishapiga zangu now nipo kitandani nawa zoom tu hawa matahira wa northern corridor, alafu wanasema eti mm Ninawwchukia, niwachukie kwa lipi hasa? Mm huwa napambana nao waitoe ile dhana yao ya kipumbavu kwamba Tz ni nchi ya kawaida, hicho ndicho kitu ambacho sipendi, wakunya wakishakuwa na heshima na kaka zao hapo basi mm nitakuwa sina tatizo kabisa na naona cku hizi wameanza kukuwa na adabu na ndiyo maana hata sindano nmepunguza hata kule twitter










Utaelewa tuu sasa mnatuonea wivu kwa sababu tuu warusi kutafanyia fEva maswaiba waoHizi nchi zote zilivote in favour of Russia plus wenye walikata kuvote zote Ni SHITHOLE,
Kitu kingine Ni hakuna nchi Ni DEVELOPED pia.
Ujinga tu.
Heheheheee mm nishapiga zangu now nipo kitandani nawa zoom tu hawa matahira wa northern corridor, alafu wanasema eti mm Ninawwchukia, niwachukie kwa lipi hasa? Mm huwa napambana nao waitoe ile dhana yao ya kipumbavu kwamba Tz ni nchi ya kawaida, hicho ndicho kitu ambacho sipendi, wakunya wakishakuwa na heshima na kaka zao hapo basi mm nitakuwa sina tatizo kabisa na naona cku hizi wameanza kukuwa na adabu na ndiyo maana hata sindano nmepunguza hata kule twitter![]()

