President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Ninakwambia wewe kijana unafanya vitu kwa kujifurahisha wewe mwenyewe.Mod sasa ni wakati wa kufuta huu uzi sababu Dar imeshuka ligi siku hizi ina compete na Kilimani so sioni haja uendele sababu Dar itazidikua victimView attachment 1427188View attachment 1427189
Sent using Jamii Forums mobile app
You don't have exposure
Dar es salaam inaipita Nairobi kwa mambo mengi mno. Na kuhusu kufungwa huu uzi kwamba hautafungwa kama umeshindwa kaa pembeni watakuja wengine


