Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

munaeza jionea umbali wa kutoka CBD kwenda westland hauzidi km 3😂😂😂 hii picha imenifurahisha sana
D95A5B3B-C841-4228-B970-917F848A6B3A.jpeg
 
express way ya mchina kwa miaka 30 na hakuna mkenya atapita bila fee kwenda kwa mchina kwa miaka 30 😂😂😂😂😂 na mpangaji wa fee ni mchina ndani ya nchi ya watu waliofeli maisha
Kwani ulitaka wajenge halafu tutumie Bure? Wewe akili yako inakusaidia kweli?😂😂🤣
 
Kwani siku hizi Upperhill iko Tanzania? Juu naona anytime tumeipost unakuanga na hasira Sana😂😂🤣
useme maelezo yanyooke sio unapost part part alaf ngoma zinshindwa kujificha 🤣🤣
 
useme maelezo yanyooke sio unapost part part alaf ngoma zinshindwa kujificha 🤣🤣
Sema wivu ndio inakumaliza. Dar will never have place rivalling Nairobi CBD, Upperhill, Westlands ama Kilimani.
 
Back
Top Bottom