Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Putin ana miaka 69.... 1973 Putin alikua na miaka 20, Kabla hata muendelee, Kijana WA miaka 20 Hana ujuzi wowote kufundisha wanajeshi kupigania ukombozi wa Africa kutoka Kwa wakoloni..

Putin wakati huo alikua mwanafunzi Kwa chuo kikuu akisomea shahada ya Law... Aligraduate Mwaka wa 1975.. Baada ya ku graduate hapo ndo alijiunga na KGB kama low level officer.. Hii ni historia yake.. Lakini kwavile akili ya Mtz imeshazoea kulishwa propaganda za ki communist utabaki ukishindana siku nzima
Kwahiyo u abisha kuwa Putin hajawahi kufika Bongo.? 😂😂 Sio tu kufika Bongo mwamba aliishi Tz kwa miaka minne .. picha yake hii 👇
JamiiForums-247491895.jpg
soma hapa 👇 Did Russian President, Vladimir Putin, Really Live and Work in Tanzania?.
 
Ishu sio tu maelewano ya Russia na UKRAINE kuweka safe corridor ili kuwapisha raia watoke ndio vita yao iendelee lahasha, ni kwamba Watanzania wameruhusiwa kutoka UKRAINE kuelekea Russia tena kwa escort ya kijeshi, yani jeshi la Urusi litawabeba wabongo kuwapeleka Belgorod ..! Unajua kusoma kiswahili.? Soma hii barua kutoka ubalozi wa Tanzania nchini Russia , watanzania wanatakiwa waonyeshe bendera yao tu wabebwe na jeshi la Urusi kutoka UKRAINE hadi Urusi ..View attachment 2140128show up some respects to us .
Russia wenyewe wametamgaza , safe corridor ya Wanafunzi kutoka nchi mbali mbali.....


Kama unavyoona hapo Kwa picha wahindi nao wameambiwa washikilie bendera Yao.... kwakofupi bendera ambayo hairuhusiwi kuringia Russia ni bendera ya Ukraine..

Screenshot_2022-03-05-19-53-38-224_com.twitter.android.jpg
 
Russia wenyewe wametamgaza , safe corridor ya Wanafunzi kutoka nchi mbali mbali.....


Kama unavyoona hapo Kwa picha wahindi nao wameambiwa washikilie bendera Yao.... kwakofupi bendera ambayo hairuhusiwi kuringia Russia ni bendera ya Ukraine..

View attachment 2140150
Sidhani kama we jamaa ni muelewa..
 
Nalisema Benard alikuwa anasaidia sana hii kampuni kuuza Kwa kufanya marketing yule nyang'au komora096 akanibishia.

Ona Sasa afta divorce na mapato yana anguka.
Nadhani itakuwa family quarrels na mismanagement kama wanavyosema kwenye makampuni mengine
 
The friends of Kunyaland


Tony254


Nigeria voted in favor of Ukraine!

😂😂😂 We kilaza Kafrican njoo uone washirika wenu wanavyowagaragaza 😂😂😂 uko kwao.. mkiambiwa muachege viherehere muwe mnaelewa, sasa haya hayo makubaliano ya safe corridor sijui yatawasaidia nini watu wenu while Ukrainians wanakataza kuchomoka mufe nao 😂😂
 
Russia wenyewe wametamgaza , safe corridor ya Wanafunzi kutoka nchi mbali mbali.....


Kama unavyoona hapo Kwa picha wahindi nao wameambiwa washikilie bendera Yao.... kwakofupi bendera ambayo hairuhusiwi kuringia Russia ni bendera ya Ukraine..

View attachment 2140150
Ninyi wanafunzi wenu wapo murang'a wanasomea kilimo cha mirungi, haya mambo tuachieni wenye uwezo

Na ndio maana wakenya ni washamba na watu poripori sana sababu ya lack of exposure
 
Back
Top Bottom