Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usisahau pia Mexico huuza chakula chake USA.
Lakini USA haiuzi chakula Mexico.

Pia hapa Kenya, hatuna ubishi Tanzania ikiwa ni nchi ya wakulima.
Sisi tutamuuzia dawa na vitu zingine za viwanda.

Umuhimu ni value ya imports na exports. Tanzania iko na trade deficit na Kenya.
Value ya vitunguu, maharagwe na hoho haitawahi karibia value ya dawa, cosmetics na electricals.

Tanzania trade with Kenya turns into deficit
Hii unaizungumziaje

 
Hii launch imafanywa majuzi. Saa hii ni site prep na equipment mobilization.

Itisha picha za progress mwaka unavyoendelea.
Kisha 2022 tembea Nairobi ushangae ulaya.

Kumbuka barabara iliyopo sasa hivi ni 6-lane.

View attachment 1455991View attachment 1455992
niletee construction board ya ujenzi huo ukipata mm nafunga acc jamii forum mark my words hii sio nairaland usijisahau😂😂

mwenzako wanjala alikimbia hii topic umekuja kuivaa wewe😁😁😁😁😁
 
Ni poa mnakimbiza ujenzi sasa.
Lakini pia barabara za mitaa na suburbs ni muhimu. Sio highway tu.

Nairobi kuna program ya kutoa matope na vumbi kwenye mitaa yote. Hii haimulikwi sana na media sababu sio barabara moja, mbali ni barabara mingi za kilomita chache chache.
Sikia ww jamaa, ucje gusa kwenye hilo eneo utaumia hakuna mahali kenya itaweza Tanzania kwenye suala la street roads yn usiguse kabisa, namaanisha nnachosema ucguse mzee, ulizia kitu kinaitwa DMDP yn usicheze kabisa kuna mikeka huku mtaani sema watu humu hawajaamua, ningependa battle inayokuja iwe paved roads za mitaani af tuone km mtaingiza pua, usiguse mzee
 
Sikia ww jamaa, ucje gusa kwenye hilo eneo utaumia hakuna mahali kenya itaweza Tanzania kwenye suala la street roads yn usiguse kabisa, namaanisha nnachosema ucguse mzee, ulizia kitu kinaitwa DMDP yn usicheze kabisa kuna mikeka huku mtaani sema watu humu hawajaamua, ningependa battle inayokuja iwe paved roads za mitaani af tuone km mtaingiza pua, usiguse mzee
😂😂😂😂😂 tunasubiri constrution board ya expressway kwa hamu zote
 
niletee construction board ya ujenzi huo ukipata mm nafunga acc jamii forum mark my words hii sio nairaland usijisahau😂😂

mwenzako wanjala alikimbia hii topic umekuja kuivaa wewe😁😁😁😁😁

Kelele tupu.
Plaque ya rais ndio board. Hii sio barabara ya kijiji.
Nikipata board zingine nitakupa nikitembea huko.
plaque.JPG


Section zisizo za juu zishaanza.

rir.JPG


Aanza kusave nauli kuja kuona ulaya hapa Nairobi.
Ikikamilika itakaa hivi.

far.JPG
 
Huu mwaka, nahisi Mungu alilenga kuonesha uwezo wa JPM, the guy is gifted.

Mwishoni mwa mwaka, wenzake watakuwa wanaugulia kudorola kwa uchumi kutokana na Covid-19, yeye atakuwa anafungua miradi yake mara SGR, upanuzi wa Bandari, mahospitali ya Rufaa n.k

Utashangaa anatia order ya ndege ya mizigo kipndi hichi cha Corona..uyu jamaa watamuona ni freemason


Sent from my iPhone using JamiiForums
naskia ana mpango wa kuagiza meli ya uvuvi bahari kuu
 
Back
Top Bottom