Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania hebu niwaulize kwa heshima na unyenyekevu ni kwa nini huwa mnakataa kukubali kwamba Kenya ina uchumi mkubwa (wa sita Afrika kwa ukubwa wa uchumi) eti kwa sababu kuna Wakenya wachache kaskazini mwa Kenya ambao wanalala njaa? Kwa hivyo kama kuna Wakenya wanaolala njaa hio inamaanisha kwamba Kenya ina uchumi mdogo? Mbona hata Angola ilikuwa inapigana vita in the 1960s and 70s lakini bado ilikuwa na uchumi wa nne kwa ukubwa barani Afrika? Mbona Nigeria ilipigana vita in the 1960s (Biafran war) na wakati huo wa vita bado ilikuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa barani Afrika na watu zaidi ya milioni mbili Nigeria wenye asili ya Igbo walikufa njaa kufuatia ukame mkali uliotokea eneo hilo? Licha ya majanga haya yote, uchumi wa Nigeria bado ulibakia kuwa wa pili barani Afrika kwa ukubwa.
Uchumi wenu ni kama wa nigeria tu. Kenya na Nigeria= GDP FOR MABEBERU 80% Tanzania =GDP FOR MABEBERU 20% Tony254 komora096
 
Shida ya waandishi wetu wa habari hawafuatilii haya mambo wakayarusha mara kwa mara mpk cc tuhangaike kutafuta sources, mfano Dar real estate imeichapa Nairobi real estate kwa mbali mno interms of price lkn hizo estate zenyewe kuzipata ni kwa shida kwasababu tuna waandishi vilaza wasiojishughulisha na mambo ya msingi, wao wamekazana na kina Uwoya cjui zuchu mara Diamond, mwisho wanamaliza na soka wasenge hawa.
Tanzania hakuna waandishi wa habari kuna wapiga pambio ,wakitegemea kupata teuzi mbalimbali
 
Mazao yanayouzwa ni yale Magufuli alisema yalimwe kipindi duniani kote wapo lock down na sisi tungefata huo upumbavu hakuna chochote tungewauzia, na ni baada Magufuli kufa kisha kunyata akaondoa ban ya mahindi ya Tanzania
Huyo mzenji anaye kula rojo ili tako liwe rojorojo kwa ajili ya waitaliano hapo forodhani hawezi kukuelewa
 
Kichwa cha treni ya wakandarasi complete with TRC colours and logo? This drama is getting even more interesting
uache ubishi usio na maana,hatupo hapa kupiga pang'a ng'a,
si kila kitu unachoelezewa hapa ni utani unaelezewa vitu halisia wewe unaleta question mark zisizo na tija,wait reli ianze majukumu ndiyo utaelewa kwa sasa endelea kubaki na ujinga wako na uendelee kujipotosha

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hawa wasichana wa tanzania achana nao tu..kuna mwengine nilikua na yeye miaka 6 iliopita..msichana alikua bomba vinoma....alafu alikua na lugha nyingine tamu sana ..kuna vitu anaeza kukwambia wewe mwenyewe ukajikuta umetoka msa ukaenda Dar kumuona mara hio..alikua na sauti nyingine poa sana..hii ni ushuhudia niliojionea mimi mwenyewe...
We mkunya huyo Tony254 mwenzako ana mponda huyo speaker wewe ujamuelewa anamaanisha ni mbaya kuna mada humu walileta wakenya wakimponda huyo mama kuwa na sura mbaya
 
Nchi za Afrika zitaumia kushinda nchi za magharibi. Kenya, Tanzania, Uganda sote tunaimport mafuta na hatuna hata refineries wala strategic oil reserve ya kustore mafuta. Nchi kama India, China, US wana mapipa makubwa ya kustore mafuta ili tatizo kama hili likitokea angalau watakuwa na supply ya wiki kadhaa ya mafuta. Sisi Waafrika huwa tunaishi kibahati bahati tu. Hatuwezi kuunda vaccine ya corona, hatuwezi kuchimba mafuta wala kuyasafisha, yaani tupo tu tunangoja kufanyiwa kila tu. Bei ya mafuta itakapopanda, tegemea bei ya kila kitu kitapanda pia.
Sisi tuko na gesi sekunde tu tunabadili magari yetu kutumia gesi
 
Shida ya waandishi wetu wa habari hawafuatilii haya mambo wakayarusha mara kwa mara mpk cc tuhangaike kutafuta sources, mfano Dar real estate imeichapa Nairobi real estate kwa mbali mno interms of price lkn hizo estate zenyewe kuzipata ni kwa shida kwasababu tuna waandishi vilaza wasiojishughulisha na mambo ya msingi, wao wamekazana na kina Uwoya cjui zuchu mara Diamond, mwisho wanamaliza na soka wasenge hawa.
Kuna estate ambayo haina drone view dar, tutajie ile ambayo haipo
 
So mnavyo import kwa wingi kutoka China it means China inawategemea sn nyie

Ku import kwa wingi from Foreign country c dalili njema kwa uchumi wa nchi. Inapaswa ku import vile vitu ambavyo hamuwezi kuzalisha au kutengeneza nchini mwenu na co ku import kila kitu kama mnavyofanya, cc Tz tumeshapunguza huo ujinga na ndiyo maana unaona kwa ss tunajituma, tunazalisha kwa wingi na tuna export zaidi kwa nchi jirani zetu na inatupa faida kubwa. Kilichobaki ni kuongeza kuwauzia finished goods kwa wingi ili tuneemeke zaidi.
Returns zinafanyaje licha ya nyie kupunguza hzo importations, mbona mumekangaza kukopa kw kusingizia eti mikopo yenye unafuu
 
Hii project haikuwa na BOQ ? Ila kuna mdau alisema humu project ukiona hamna bango la contractor ujue wizi upo karibu . Kweli ichoboy alisema ukweli kama sikosei
Umeitoa wapi hyo kauli yako, miradi mingapi ya mabango tz na wizi ulifanyika..
Upuuzi tu kuabudu miungu watu
 
Waliambiwa project itagharimu $500ml mpk ss tunapoongea mchina anasema keshamaliza $668ml na ujenzi unaendelea, unajua hiyo inamaanisha nn? Maana yake hii road itakuwa hailipiki kwa hiyo miaka 30 labda miaka 100, so hawa wakunya wa humu wote watakufa hii road haijalipwa, na asilimia kubwa ya wakunya humu hawana gari na wachache wenye gari hawatotumia hyo road
Asante sana kw kuumizwa, still kenya ina magari mengi kuliko nchi yyte ile ukanda huu
 
Back
Top Bottom